Baada ya kutumia muda mwingi kukitetea chama cha Magamba (CCM) hapa JF bila kuweza kubadili upepo wa vuguvugu la ukombozi natangaza rasmi kuachana na siasa za maji taka za CCM na kujikita katika ukomboza wa kweli wa Mtanzania kupitia M4C.
Aidha kwasasa nakujikita kutetea wanyonge wenzangu Walimu dhidi ya serikali dhaifu na dhalimu.
Wanachadema wote na wapenda mageuzi wote nchini naomba mnisamehe kwa upotoshaji mkubwa nilioufanya hapa JF kwa post na thread zangu ambazo ziliichafua chadema na viongozi wake (unaweza kuzingalia kwenye profile yangu).
Natumaini Makamanda wote waliopo JF mtanipokea na kwenda kushirikiana nami katika vuguvugu la kuing'oa CCM madarakani mwaka 2015 hata kabla ya hapo kama tuta appy japo kidogo Majority Patriotic Movement.
Na iwe kama ulivyoomba, dhambi zako umesamehewa. Amina
Baada ya kutumia muda mwingi kukitetea chama cha Magamba (CCM) hapa JF bila kuweza kubadili upepo wa vuguvugu la ukombozi natangaza rasmi kuachana na siasa za maji taka za CCM na kujikita katika ukomboza wa kweli wa Mtanzania kupitia M4C.
Aidha kwasasa nakujikita kutetea wanyonge wenzangu Walimu dhidi ya serikali dhaifu na dhalimu.
Wanachadema wote na wapenda mageuzi wote nchini naomba mnisamehe kwa upotoshaji mkubwa nilioufanya hapa JF kwa post na thread zangu ambazo ziliichafua chadema na viongozi wake (unaweza kuzingalia kwenye profile yangu).
Natumaini Makamanda wote waliopo JF mtanipokea na kwenda kushirikiana nami katika vuguvugu la kuing'oa CCM madarakani mwaka 2015 hata kabla ya hapo kama tuta appy japo kidogo Majority Patriotic Movement.