Hail lucifer,shemhaforash,
Leo hii nimeuza roho yangu kwa pepo wa uchoyo na ubinafsi( demon of greedy( mammon ) kwa ajili ya Mali na pesa .
Nilitumia kitabu cha VILE OF DARKNESS na vitabu vingine vya grimoire.
Nimekula kiapo cha damu (" nitamtumikia kaskazini na kusini ,mashariki na magharibi ,maisha ya sasa na ya bandage, kwa kujua kwangu na kutokujua kwangu ,..............")
Sitoweza kusema yote kwa ajili ya viapo vyangu .
Najuta Sana nimeiponza nafsi yangu kwa ajili ya tamaa zangu.
Msaada kwa wanaoweza kunitoa huku na teseka sana ,maisha na nilivyotarajia