DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,974
Mapenzi nyumbani, Hapa Kazi Tu
Unajua mtu kumuweka mke kwenye kampein unaangalia na uwezo wake wa elimu ba uelewa. Kwa.mfano mimi mke wangu ni mwalimu wa shule ya msingi ataweza nini jamani ? lazima nimwache asije kunidhalilisha.Haya bana..kama mume kuambatana na mkewe ni kujivuna sijui akichaguliwa itakuwaje
Ana ofu ya mungu anazaa nje ya ndoa!
Wewe mlikaa lini na Nyerere akakuambia kuwa EL ni mwizi, na ulikumbuka kumuuliza kuwa EL aliiba nini na alimwibia Nani na kama aliiba Pesa ilikuwa kiasi gani???.Pia umuulize na NKAPA kwa nini aliamua kumuua huyo jamaa kama alikuwa perfect kiasi hicho!???.Usiwe muongo kama lowasa! Ni wapi na lini Lowasa alimtaja JK kuwa ndo .husika? Alkchosema ni kuwa Richmond yalikuwa maahiza ya mkuu wake. Watu wakamuuliza, kwa nafasi ya uwaziri Mkuu, wakubwa wa kazi ni makamu wa rais na raisi, lowasa sema ni nani kati ya hao? Lowasa kimya hadi kesho. Lowasa ni mwizi hata Nyerere anajua.
Wewe mlikaa lini na Nyerere akakuambia kuwa EL ni mwizi, na ulikumbuka kumuuliza kuwa EL aliiba nini na alimwibia Nani na kama aliiba Pesa ilikuwa kiasi gani???.Pia umuulize na NKAPA kwa nini aliamua kumuua huyo jamaa kama alikuwa perfect kiasi hicho!???.
Wana JF Hola!!
Tumlizoea, kwenye chaguzi nyingi, wagombea kuambatana na wenza wao, kwenye campaign, hii hali imezusha maswali kibao, hasa kwa marafiki zangu wa UKAWA, wamediriki hadi kunitania wakisema Magufuli hana mke, hatutaki Rais bachelor, lakini niliwajibu kuwa ana mke na watoto, ikumbukwe magufuli sio mtu wa kujivuna, Mungu amsaidie, pia anajua anachofanya ni kwa manufaa ya taifa, hata watoto wake wanasoma shule hizi hizi za St Kayumba, hivyo sio mtu wa kujiweka matawi ya juu, Magufuli ana hofu ya mungu kama hutaki kajinyonge. Dkt. Magufuli ni mmoja ya mawaziri wanaoogopwa sana kwa misimamo hata na Rais mwenyewe kwa jambo analoliamini analifanya kwa mujibu wa sheria,kanuni na taratibu.
Amemuekeza Kanali Kinana kuwa moja hatapenda kuiona familia yake ikishiriki katika kampeni za urais kwani sitaki familia yangu kujihusisha au kujinasibisha na urais wa nchi.
Nataka nikapambane kufuta hili lililojengeka kwa watoto wa vigogo kubebwa kwenye nafasi za uongozi hata ajira na kuwaacha watoto wa watanzania maskini wakiwa mitaani eti kwa sababu hawana wa kuwashika mikono haki ya Mungu hili nitapambana nalo ili chama hiki kiwe cha wote na nchi hii iwe ya wote.
Hivyo mke wangu naomba aachwe akafundishe,wanangu waendelee na mambo yao na hata ndugu zangu. Jukumu lao kubwa ni kuniombea kwa Mungu ili nikawatumikie watanzania kwa moyo wa dhati bila kiburi na majivuno.
#hapakazitu.
Wana JF Hola!!
Tumlizoea, kwenye chaguzi nyingi, wagombea kuambatana na wenza wao, kwenye campaign, hii hali imezusha maswali kibao, hasa kwa marafiki zangu wa UKAWA, wamediriki hadi kunitania wakisema Magufuli hana mke, hatutaki Rais bachelor, lakini niliwajibu kuwa ana mke na watoto, ikumbukwe magufuli sio mtu wa kujivuna, Mungu amsaidie, pia anajua anachofanya ni kwa manufaa ya taifa, hata watoto wake wanasoma shule hizi hizi za St Kayumba, hivyo sio mtu wa kujiweka matawi ya juu, Magufuli ana hofu ya mungu kama hutaki kajinyonge. Dkt. Magufuli ni mmoja ya mawaziri wanaoogopwa sana kwa misimamo hata na Rais mwenyewe kwa jambo analoliamini analifanya kwa mujibu wa sheria,kanuni na taratibu.
Amemuekeza Kanali Kinana kuwa moja hatapenda kuiona familia yake ikishiriki katika kampeni za urais kwani sitaki familia yangu kujihusisha au kujinasibisha na urais wa nchi.
Nataka nikapambane kufuta hili lililojengeka kwa watoto wa vigogo kubebwa kwenye nafasi za uongozi hata ajira na kuwaacha watoto wa watanzania maskini wakiwa mitaani eti kwa sababu hawana wa kuwashika mikono haki ya Mungu hili nitapambana nalo ili chama hiki kiwe cha wote na nchi hii iwe ya wote.
Hivyo mke wangu naomba aachwe akafundishe,wanangu waendelee na mambo yao na hata ndugu zangu. Jukumu lao kubwa ni kuniombea kwa Mungu ili nikawatumikie watanzania kwa moyo wa dhati bila kiburi na majivuno.
#hapakazitu.
Kivuko feki chakavu cha mwaka 1978... kanunua bil 8 za Tshs... alafu inaenda Bangamoyo masaa 3... inapakia watu 300 imeshakufaa...!!!
Bahressa kanunua kivuko cha watu 500, kipya cha mwaka 2014, kwa Bil 6 za tshs... na inaenda Zanzibar kwa Lisaa 1:30 tu... JIULIZE SASA...!!!