New Nytemare
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 3,419
- 2,640
msaada wataalam,
Nimeumwa na nyuki mchana huu jicho limevimba sana naomben msaada kwa anayejua dawa ipi ya asili au ya dukan itakayonisaidia kupunguza uvimbe maana kesho nnasafari kwenda kwenye interview.
Msaada wenu wakuu
Nimeumwa na nyuki mchana huu jicho limevimba sana naomben msaada kwa anayejua dawa ipi ya asili au ya dukan itakayonisaidia kupunguza uvimbe maana kesho nnasafari kwenda kwenye interview.
Msaada wenu wakuu