jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
mtoe Zembwela kwenye list yako, mweke Deo Rweyunga au wale wa TBCCM.
Kwa baadhi ya watu Zembwela ni pimbi tu kuliko hao unaowaona wewe ndio hawafai....
Ndio maana nikasema kwa baadhi ya watu
mtoe Zembwela kwenye list yako, mweke Deo Rweyunga au wale wa TBCCM.
Mimi sijabeza ila nilicho maanisha taaluma!!mtangazaji yupo kwenye masscom je mpiga depe wa daladala yupo kwenye taaluma ipi??mpaka alinganishwe na presenter??
Kwa baadhi ya watu Zembwela ni pimbi tu kuliko hao unaowaona wewe ndio hawafai....
Ndio maana nikasema kwa baadhi ya watu
Yah jamaa yuko sahihi....unajua siku hizi waandishi na watangazaji hufuata waajiri wao na jamaa zao wanaataka nini then wanafanya hata km si kwa matakwa yao, mfano kuwa mashabiki wa mtu fulani kisiasa km alivyo Kibonde na CCM wala haileti picha nzuri ktk jamii. utakuta kwenye kipindi anatumia muda mwingi kuponda na kufagilia chama fulani na anasahau kuwa yeye hatakiwi kuonyesha wazi.Ukitazama vyema utaelewa falsafa iliyotumika hapo.
OTIS
Kwa baadhi ya watu Zembwela ni pimbi tu kuliko hao unaowaona wewe ndio hawafai....
Ndio maana nikasema kwa baadhi ya watu
Kwa baadhi ya watu Zembwela ni pimbi tu kuliko hao unaowaona wewe ndio hawafai....
Ndio maana nikasema kwa baadhi ya watu
Kwa mtazamo wangu
mtu kama Zembwela nampa credit nyingi zaidi
From down to top
kwa elimu dunia tu
anapambana/share ofisi na waliosoma
huoni kama ame-achieve na anstahili pongezi?
Anaongea anachoongea kwa upeo wake.
Hata wewe kuna watu ukiwekwa nao waweza kosa cha kuongea, au ukaongea na wasikuelewe kutokana na upeo kuwa tofauti sana.
Namheshimu kwa hilo zembwela.
huo upimbi wa Zembwela u wapi?
Unajua kuna watu wapuuzi sana, Unamchanganya Zembwela mchekeshaji na mtangazaji, beki hasifiwi kwa kufunga, mtazame Zembwela kwa jicho huru na utagundua kuwa ni mtangazaji ambaye hana biases na anachambua vitu kwa upeo mkubwa. Usifuate mkumbo dogo!
Mkuu cheki lugha zako, tusizidishe hisia!
Nisome kati ya mistari mzazi, mi nimesema "baadhi ya watu" coz najua duniani huwezi pendwa na wote hata ufanye nini....
Hii ki2 ina mantiki ww.Mimi binafsi sipendi watu wanao beza taaluma!
Hila kuna mahali nimekuta pameandikwa eti"MTANGAZAJI NA MPIGA DEBE SAWA TU TOFAUTI YAO NI OFISI"Nimkereka kwa kibaza taaluma!
Kwa upana upi??tujuze MC's wapambe?,dalali??ila mimi naona bado haijafikia hapo unataka kusema Riz khan,Shaka Sari,Vincent Makori nisawa na mpiga debe yoyote yule unayemjua???hapana na kataa!Hii ki2 ina mantiki ww.
tatizo lako by MPIGA DEBE ukadhan wa daladala loh hakuna neno pana ilo na jina ukweli wake kbs.