Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Wale wa dk 30-40 halafu tukimaliza mashine bado inadai kuunganisha wote tuseme TAWIRE
๐๐๐๐
Wale wa dk 30-40 halafu tukimaliza mashine bado inadai kuunganisha wote tuseme TAWIRE
hehe! Sema TAWIRE ww!๐๐๐๐
Jamaa itakua alipania sana show mwishowe ndio kuumbuka sasa..Au kwa upande wa pili may be mtoto kaumbika af wa moto haswaa ukicheki ni Mara ya kwanza Ku meet nae hapo pia wazungu hua hawachelewiLabda ulipania
Siku ingine akija relax...naimagine atakuwa kakuonaje sijui๐
Baki na upungufu wako. Nakupa deal ya mwisho ukitaka kuchelewa kukojoa demu aikalie juu wewe uwe unamwangalia tu anavyovinyonga huku unawaza msiba wowote utachelewa sana
Kwan hata sisi si binadamu kuna muda mifumo inafeli tu sio machine hii kwamba tukiiambia masaa 3 twendeImagine miaka yote nilomaliza nikutane na jitu kama hii linakuchafua nusu sekunde afu ukute hata hela hana hata ya kutuliza maumivu. Mungu tuhurumie
Mungu Akusaidie kwenye kuzini mkuu? Umenichekesha sana aisee. We pambana ns hali yako lakini usimwingize Mujngu banaAise itanibidi nitafute hata changu nijaribu kupiga zoezi before mechi make kasema atakuwa free ijumaa anaweza kurud ila Mungu anisaidie tu
Sent using Jamii Forums mobile app
ushajaribu nn?Hii kwel kabisa,Fanya yeye hawe anakuja juu AF we upo chini utachelewa kukojoa hata SAA nzima mpka utashangaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Imagine miaka yote nilomaliza nikutane na jitu kama hii linakuchafua nusu sekunde afu ukute hata hela hana hata ya kutuliza maumivu. Mungu tuhurumie
Wale wa dk 30-40 halafu tukimaliza mashine bado inadai kuunganisha wote tuseme TAWIRE
Duuuu
Mkuu acha tuSema tawire
Mkuu acha tu
Kabla ya yote niwaombe mods wasiunganishe Uzi huu pia nieleze ukwel cjawahi kuandika bandiko lolote humu jf zaidi ya kusoma Riwaya kule entertainment pia habari za michezo
Niende kwenye mada juzi nimempata mdada mzuri tu nikamtongoza Bahat ikawa upande wangu akanikubalia bhas Jana usiku kaja ghetoni kwangu kwel tumefanya romance ikafika mda Wa mm kufanya shughuli kwel nimeingia sijamaliza hata dakika 2 nikamwaga cha ajabu zaidi nimejitahid kufanya kila njia isimame tena imegoma kabisa imekuja kupata uhai saa 10 asubuhi napo nilivyo jaribu kufanya matokeo yale Yale
Tafadhalini nipeni msaada nimesononeka sana Sina Amani ya moyo Nini kinaweza kuwa tatizo na nifanye Nini madaktari nisaidieni please
Kejeli siyo mzuri ni hayo tu wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kwel ilikuwa kawaida nilipiga kama dk 3 afu ikasizi ila baadae kidogo ilikuwa sawa na nikapiga takribani dk45 cjui Nini tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna hisi naye usipanikKabla ya yote niwaombe mods wasiunganishe Uzi huu pia nieleze ukwel cjawahi kuandika bandiko lolote humu jf zaidi ya kusoma Riwaya kule entertainment pia habari za michezo
Niende kwenye mada juzi nimempata mdada mzuri tu nikamtongoza Bahat ikawa upande wangu akanikubalia bhas Jana usiku kaja ghetoni kwangu kwel tumefanya romance ikafika mda Wa mm kufanya shughuli kwel nimeingia sijamaliza hata dakika 2 nikamwaga cha ajabu zaidi nimejitahid kufanya kila njia isimame tena imegoma kabisa imekuja kupata uhai saa 10 asubuhi napo nilivyo jaribu kufanya matokeo yale Yale
Tafadhalini nipeni msaada nimesononeka sana Sina Amani ya moyo Nini kinaweza kuwa tatizo na nifanye Nini madaktari nisaidieni please
Kejeli siyo mzuri ni hayo tu wadau
Sent using Jamii Forums mobile app