Hii ni kweli kabisa huwana inachangiwa na uchovu sana,usingizi na kuwa over excited yaani kuwa huamini Kama kweli amekupa mzigo.Pole kuku mweus itakuwa ulikuwa stressed, uchovu au mtoto ni mzuri mpaka ukawa huamini kama kweli hiyo bahati imekudondokea,
btw, tuliza akili kwanza ukiendelea kusononeka ndo hutosogeza kitu wanasema hiyo hali huwa inatokea.!!
Namba 6. Shida malaya hana muda wa kukuandaa anaomba hata usiingize ili awahi kwa mwingine. Kikubwa kijana ajitulize tu mpenzi mmojaEbu jaribu haya yanaweza kukusaidia;-
nadhani baada ya muda utaona mabadiliko.
- Mazoezi ya kukimbia,push up,kunyanyua vitu vizito..lengo ni kuongeza pumzi
- Pata saladi ya matunda ikiwezekana mara 3 kwa siku
- Kunywa maji mengi
- Pata juisi baridi ambazo ni fresh
- Tumia muda mwingi kupumzika
- Na ukikutana na mwenzio ajifunze kukuwekea mitego au awe mtundu ili kukuongezea hamu ya kuingia vitani,sio yeye anakuja na kijilaza tu.
Nilikuwa vizur mno sijui nn kimenipata now day but chuo sijamaliza Niko mwaka Wa pili sasaUlikuwa hujiamini amini km ndio kweli mtoto ndio unae wew hapo muda huo, hali ya kawaida lakin ningependa kujua experience yako ya mechi huko nyuma kabla kuwa na huyu ilikuaje?
Kama huna tatizo basi siku zitavyozidi kwenda utamzoea na utarudi kwenye hali yako ya kawaida, tena utakuwa balaa we tulia ondoa mawazo uenjoy. Ila chuo umeshamaliza lakin?
Unataka kusema punyeto huwa hupigi kabisa?
Sijawahi kupiga nyetoUnataka kusema punyeto huwa hupigi kabisa?
Bas huenda ni woga tu na hofu ndiyo chanzo!Sijawahi kupiga nyeto
Bas huenda ni woga tu na hofu ndiyo chanzo!
we chalii angu kabisa, njoo PM ila m nko mwaka wa kwanza, nkupe vya kuponea ila kinga ni mhimuNilikuwa vizur mno sijui nn kimenipata now day but chuo sijamaliza Niko mwaka Wa pili sasa
we chalii angu kabisa, njoo PM ila m nko mwaka wa kwanza, nkupe vya kuponea ila kinga ni mhimu
ItakuwaPole sana...
Kama ndiyo mara ya kwanza kukutokea hiyo hali, wala siyo tatizo na huna tatizo...
Its all in your mind... inawezekana ulikua kwenye wasi wasi, uwoga, labda ulikua na njaa, labda ulikua hujiamini kama kweli umempata... sii unajua kitu ukikikamia sana mwisho wa siku unaharibu...
Ila kama inakutokea mara kwa mara hapo ndiyo kuna tatizo...
Cc: mahondaw
Nina mashaka na huyu jamaa ndo mmiliki wa vumbi la kongo maana naona promo zake ni nomaUnaweza kutumiwa kwenye mabasi - ingawa mie sio muuzaji ila vumbi dadeki unakomalia papuchi bao halitoki mpk demu anaweza kukukimbia