Km waarabu wamavyouliwa kule kwamba magaidi kumbe sio wotewataalam wa nyoka wanasema ni 20% tu ya nyoka ndio wenye sumu inayoweza kumdhuru mwanadamu, hivyo basi kwa ignorance yetu tunaua maelfu ya nyoka wasio na hatia wala madhara!
Mbona mimi nimefungua
KivuleUpo Dar sehemu gani.
Huyu hapa alikuwa akimendea MbuziHuyo Chatu hata Dar wapo kibao, mmoja mwaka 2012 aliwahi kuuliwa mto Mzinga alipokuwa akivizia Mbuzi. Yaani huyo kiumbe akiwa anawinda kumuua ni rahisi, hana akili ya kujihami. Hawezi kuwinda na kujihami hapohapo
Angewapelekea Wachina, sasa kumua amapata faida gani.watu wa maliasili watoe elimu hapa then watoe namba zao ambazo watu tutawatafuata pale ambapo wadudu au wanyama wa porini wanapovamia makazi yetu,
aaahh sijui itakuwaje!!ni bora nikutane na mnyama mwingine yeyote lakini si nyoka,Nyoka aaaahh huyu kiumbe sinaga urafiki naye hata kidogo, sio nimuone live tu,hata kwenye video moyo wangu unanyong'onyea sana!!Sasa akitokea ndani unafanyaje? Na uko wa wifi pemben
Kwa Tanzania ni asilimia 20 tu hawana sumu.wataalam wa nyoka wanasema ni 20% tu ya nyoka ndio wenye sumu inayoweza kumdhuru mwanadamu, hivyo basi kwa ignorance yetu tunaua maelfu ya nyoka wasio na hatia wala madhara!
Wewe uliyeepuka ignorance ungeanza kuuelezea huo utaalam, la sivyo mie sitamchelea ignorance anayeingia kwenye anga zangu kisa hana hatia.wataalam wa nyoka wanasema ni 20% tu ya nyoka ndio wenye sumu inayoweza kumdhuru mwanadamu, hivyo basi kwa ignorance yetu tunaua maelfu ya nyoka wasio na hatia wala madhara!
Huyu hapa alikuwa akimendea MbuziView attachment 829416
$jfgmngggg_f get gg get the_ghbb be gggjb n hi no & for he & good na can gf=forbwataalam wa nyoka wanasema ni 20% tu ya nyoka ndio wenye sumu inayoweza kumdhuru mwanadamu, hivyo basi kwa ignorance yetu tunaua maelfu ya nyoka wasio na hatia wala madhara!