Nimetumwa....Kwenu akina dada!!

Nimetumwa....Kwenu akina dada!!

Kwani vipi?? Eeeh....kwahiyo unataka nikikuja next time nijibebeshe tena kila kitu. Wat if sijatoka home nimepata tu mzuka nataka ni pop in one tym??

Kwa taarifa yako tunaendelea kuacha mpaka bik..ni nakuambia.

Tena umenikumbusha hereni zanggu zilizopo huko moja imepotea kwahiyo leo ntakuja na another one pair ziwe 2kama kawa halafu bracelet yangu unikumbushe niondoke nayo kesho coz jumatatu nataka niivae.
 
Kwani vipi?? Eeeh....kwahiyo unataka nikikuja next time nijibebeshe tena kila kitu. Wat if sijatoka home nimepata tu mzuka nataka ni pop in one tym??

Kwa taarifa yako tunaendelea kuacha mpaka bik..ni nakuambia.

Tena umenikumbusha hereni zanggu zilizopo huko moja imepotea kwahiyo leo ntakuja na another one pair ziwe 2kama kawa halafu bracelet yangu unikumbushe niondoke nayo kesho coz jumatatu nataka niivae.
Kwani ulikuwa unacheza mieleka mpaka ukavua bracelet? Tehe tehe.
 
Hata mi naona kweli umetumwa, tena umetumwa na wasojua mapenzi.....!!!
 
Kwani ulikuwa unacheza mieleka mpaka ukavua bracelet? Tehe tehe.

Sikuvua ila ni ile niliyoihamishia huko pamoja na khanga, hereni, lotion, lipstick et el...
By the way ...mbona mieleka inachezeka tu haina haja ya kuvua bracelet .....hahahaaaaa
 
Sikuvua ila ni ile niliyoihamishia huko pamoja na khanga, hereni, lotion, lipstick et el...
By the way ...mbona mieleka inachezeka tu haina haja ya kuvua bracelet .....hahahaaaaa
Hahahaha! Kuna mieleka mingine shurti bracelet iwekwe kando lol.
 
Ha ha ha!! Kweli mjumbe hauwawi!!!!
Filipo darling , Umeona mambo ya siku hizi? Watu wanatafuta shortcut!!!
 
Last edited by a moderator:
Baada ya muda nyumban kwake kutakuwa kunamboa atakuja kwako kuspend the whole weekend!!
 
Kwangu zipo za watu bikini, kanga make up set nguo vifaa vya ofisini, ila ni wastaarabu kila mtu anaheshimu za mwenzake na huwa nakuwa makini kusimamia fair play
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom