Nimetua mzigo, sihitaji mwanaume tena

Nimetua mzigo, sihitaji mwanaume tena

Wakuu hbr za majukumu?

Kuwa mwanaume haimaanishi kubeba muhogo tu, yaani mwanaume anakamilika pale muhogo wake unapo leta tija ktk suala zima la mahusiano.

Mwanaume anaposhindwa kuutumia muhogo wake ipasavyo anakuwa hana tofauti na hanisi.

Niliolewa na mwanaume ambaye nilimpenda kwa muonekano wa nje (physical appearance) kumbe ndani ni box tupu...nikisema box namaanisha hasimamishi ...na ikitokea kasimamisha basi haizidi dakika 10 hapo ni mpaka mwezi ujao tena. Sasa piga picha amesimamisha wakati upo kazini au upo mbali au unpo mp! ni mateso matupu!

Nimevumilia nimeshindwa last week nimeamua kuachana nae.

Nashukuru sana kutua zigo hili.....sihitaji mwanaume tena..papucha yangu naifukia shimoni.

ULIVYO MWONGO DADA YANGU, SIE KAKA ZAKO TUMEKUSHTUKIA. KAMA SHIDA YAKE YA KIBINADAM NDO HIVYO TU, NI HANDSOME NA UMEMPENDA, OKAY, UMEMFUKUZA SABABU HIYO, ILA SASA UHITAJI TENA MWANAUME NA PAPUCHA UNAIFUKIA SHIMONI, KWA NINI USINGEIFUKIA WAKATI YUPO MAANA KAKAMILIZA SEHEMU ZOTE KASORO HAPO?
 
Sometimes lawama sana hazisaidii, mwambie apige tizi, squats za kufa mtu. Ila hiyo kali dushe inasinyaa mwezi mzima.
 
Mwe... Hivi hamkuwahi kugegedana kabla ya kuchukuana na kuishi gheto moja.. Kama jibu ni ndiyo..Je? Haukutumia mda huo kuobserve pafomansi yake... [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
hahahahaha! daaa! kumbeee! ndo maana...!leo ndo na amini pesa sio kitu mbele ya "dushee" mimi ndo maana nawa pelekeaga moto mpaka,ili kuepusha dharau kama hizi.
 
i don't believe you made a right decision, na sina hakika kama hii story ni ya kweli. ina maana kabla ya kuoana jamaa alikuwa hajapiga mabao? uliingia kwenye ndoa kabla hujakutana naye kimwili? did you 2 go to the church? if yes and you are christian huo ni msalaba wako na papara zako. wajanja wanaanza na courtship for a reasonable period, hawavui chupi day 1 na kuolewa siku hiyohiyo. sijuhi kama utanielewa lakini.
 
Wakuu hbr za majukumu?

Kuwa mwanaume haimaanishi kubeba muhogo tu, yaani mwanaume anakamilika pale muhogo wake unapo leta tija ktk suala zima la mahusiano.

Mwanaume anaposhindwa kuutumia muhogo wake ipasavyo anakuwa hana tofauti na hanisi.

Niliolewa na mwanaume ambaye nilimpenda kwa muonekano wa nje (physical appearance) kumbe ndani ni box tupu...nikisema box namaanisha hasimamishi ...na ikitokea kasimamisha basi haizidi dakika 10 hapo ni mpaka mwezi ujao tena. Sasa piga picha amesimamisha wakati upo kazini au upo mbali au unpo mp! ni mateso matupu!

Nimevumilia nimeshindwa last week nimeamua kuachana nae.

Nashukuru sana kutua zigo hili.....sihitaji mwanaume tena..papucha yangu naifukia shimoni.
kifupi ni kwamba unatafuta mwanaume au sijaelewa🙄🙄🙄
 
Umefanya haraka sana kuachana naye. Hilo tatizo ukifuatilia vizuri linatibika
Tatizo lipo kwa mwanamke. Amesema Papuchi itafukiwa shimoni, maana yake imeoza/ haifai kabisa kutumiwa. Ni Mwanaume gani ataweza kudindisha na kuingiza Dushe kwenye Papuchi iliyooza.
 
Sasa kuishi nae ikiwa haisimami na kuishi single kuna tofauti gani..
Kiukweli hapo umewaita pm, jf kila mwanaume ni single
Kamchukue wewe uishi nae..npm nikupe contacts zake
 
Back
Top Bottom