GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,918
Wako vizuri sana, wana Pumzi, hawachoki, siyo wanene, wanajiamini, wako makini hasa katika kuangalia 'angles' na wamejidhatiti kweli kweli tu.
Ila najiuliza kwann msaada wa Lisu ifanyowe fujo ndani ya jimbo la mwenyekiti wa chama?
No nani yupo nyuma ya hawa wamachame wenzangu ambao wanasema uongo hadi sura zinaonyesha wakiwa wanaongea.
Hicho Ni kiashiria tu kwamba amechokwaIla najiuliza kwann msaada wa Lisu ifanyowe fujo ndani ya jimbo la mwenyekiti wa chama?
No nani yupo nyuma ya hawa wamachame wenzangu ambao wanasema uongo hadi sura zinaonyesha wakiwa wanaongea.
Mbwembwe tu hao Ni watu wa Gym waliomilikishwa silaha kihalaliWako vizuri sana, wana Pumzi, hawachoki, siyo wanene, wanajiamini, wako makini hasa katika kuangalia 'angles' na wamejidhatiti kweli kweli tu.
Done dealHicho Ni kiashiria tu kwamba amechokwa
Zamani lisingewezekana hilo
Wenye akili kubwa hawataki picha.Kama vile wote tumewaona? Bila picha ni umbea
Wako vizuri sana, wana Pumzi, hawachoki, siyo wanene, wanajiamini, wako makini hasa katika kuangalia 'angles' na wamejidhatiti kweli kweli tu.
Anasema ivii ameshindwa kuchangia uzi wako anajiuliza maswali kwanini msafara wa Lisu ufanyiwe fujoo?Sentensi yako ya Kwanza haijaeleweka Mkuu na ina 'Ukakasi' na 'Kutuchanganya' pia. Hebu ipitie 'Kiumakini' na ukiweza 'ihariri' ili ueleweke vyema.
Naunga mkono Mzee Gentamycine, ila najiuliza wako full equipped kiasi kwamba likitokea shambulio kama lile wataweza kukabiliana nalo bila athari kubwa?
Thread tayari?!
Upuuzi mwingine