kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,793
- 5,042
Kuna siku nilikuwa na nyege zangu nikaamua kuingia mtandaoni kutafuta mademu kwa bahati nzuri nikapata demu mwenye asili ya kinigeria, nilimgonga demu huyo nikamlipa pesa zake alafu akasepa zake.
Baada ya siku tatu akanitumia sms kuwa anataka kuja kwangu nimpe burudani tena Nikasema sina pesa akaniambia eti ni bure mimi nikashangaa Akaja nikachukuwa point 3 zangu. Nikamshukuru cha ajabu akasema eti yeye ndo anatakiwa anishukuru mimi.
Nikaona mbona msala huu nikawa na wasiwasi naye labda kunakitu anataka kutoka kwangu ndo maana amekuwa ivo
au ana magonjwa. Nikawa na potezea sms zake akituma na potezea yaani nikawa sijali naye kabisa.
Sasa leo jioni amenitumia sms kuwa Alitokea kunipenda
Yupo tayari kubadirika ili awe na mimi. Nimeshangaa saana na nimeona ni ajabu hii. Mimi toka ni zaliwe sijawahi kusikia mwanamke ambaye alikuwa anajiuza ameolewa.
Na pili sijui kama nikimkubalia huyu mwanamke jamii inayo nizunguka watanionaje mimi maana sio mimi peke yangu ambaye nimegonga huyu mwanamke na amini watu wengi wamemgonga.
Na tatu sijui nikimkubalia huyu mwanamke alafu familia yangu waje kusikia alikuwa Malaya dah ni shida tu.
Kiukweli naombeni ushauri ndugu zangu, hivi kweli Malaya anaweza kugeuka na kuwa mwanamke mwema kabisa?
Baada ya siku tatu akanitumia sms kuwa anataka kuja kwangu nimpe burudani tena Nikasema sina pesa akaniambia eti ni bure mimi nikashangaa Akaja nikachukuwa point 3 zangu. Nikamshukuru cha ajabu akasema eti yeye ndo anatakiwa anishukuru mimi.
Nikaona mbona msala huu nikawa na wasiwasi naye labda kunakitu anataka kutoka kwangu ndo maana amekuwa ivo
au ana magonjwa. Nikawa na potezea sms zake akituma na potezea yaani nikawa sijali naye kabisa.
Sasa leo jioni amenitumia sms kuwa Alitokea kunipenda
Yupo tayari kubadirika ili awe na mimi. Nimeshangaa saana na nimeona ni ajabu hii. Mimi toka ni zaliwe sijawahi kusikia mwanamke ambaye alikuwa anajiuza ameolewa.
Na pili sijui kama nikimkubalia huyu mwanamke jamii inayo nizunguka watanionaje mimi maana sio mimi peke yangu ambaye nimegonga huyu mwanamke na amini watu wengi wamemgonga.
Na tatu sijui nikimkubalia huyu mwanamke alafu familia yangu waje kusikia alikuwa Malaya dah ni shida tu.
Kiukweli naombeni ushauri ndugu zangu, hivi kweli Malaya anaweza kugeuka na kuwa mwanamke mwema kabisa?