Sumti
JF-Expert Member
- Jan 30, 2016
- 2,311
- 2,157
Ni takriban wiki nimekula BAN la nguvu kwa mjadala uliokuwa unamhusu Mh. Tundu Lissu. Mimi kama kijana mwenzenu, nashukuru kwa kurudishwa tena jukwaani na kuomba msamaha kwa lile lililotokea.
Rai yangu kwa wanajukwaa wote ambao tunajipambanua kama the great thinkers ni tujeni Uzalendo kwa Nchi yetu. Adabu na utii kwa viongozi wetu ni jambo la msingi sana. Kijana mwenye uchungu na Nchi yako ukionekana kushabikia matusi b kejeli kwa viongozi wako basi hapo kuna walakini na sidhani kama kuna mwelekeo chanya wa kuitakia mema Nchi Yetu.
Nchi itajengwa na sisi vijana na pia itaharibiwa na sisi vijana. Lakini pia ni lazima tujifunze kukubaliana kutokukubaliana. Mbarikiwe nyote.
Rai yangu kwa wanajukwaa wote ambao tunajipambanua kama the great thinkers ni tujeni Uzalendo kwa Nchi yetu. Adabu na utii kwa viongozi wetu ni jambo la msingi sana. Kijana mwenye uchungu na Nchi yako ukionekana kushabikia matusi b kejeli kwa viongozi wako basi hapo kuna walakini na sidhani kama kuna mwelekeo chanya wa kuitakia mema Nchi Yetu.
Nchi itajengwa na sisi vijana na pia itaharibiwa na sisi vijana. Lakini pia ni lazima tujifunze kukubaliana kutokukubaliana. Mbarikiwe nyote.