nimetoa cheka na kitime?.

nimetoa cheka na kitime?.

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,650
Reaction score
20,993
Jamaa alikuwa kakaa kiti cha nyuma kabisa kwenye daladala, pembeni yake kuna binti mzuri akaanza kumpa maneno matamu, binti akawa anamkatalia, jamaa hakukata tamaa , na binti hakubadili mawazo, hatimae binti akawa amekasirika, akamwambia jamaa kwa ukali na sauti ya juu basi zima wakasikia,'We baba vipi? Kwani lazima?" Jamaa akajibu nae kwa nguvu, 'Ndio ni lazima tupate Katiba mpya maana hii ya sasa imepitwa na wakati'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom