Nimetimiza miaka 5 Jf bila ban

Nimetimiza miaka 5 Jf bila ban

Ban sioni ina impact gani humu maana kuna watu wana I'd zaid ya 4 humu,,! Wanapeta tu na comments ..
BTW Hongera kwa nidhamu.
 
Na ile ID yako nyingine haijawahi kupigwa ban?
 
Ban sioni ina impact gani humu maana kuna watu wana I'd zaid ya 4 humu,,! Wanapeta tu na comments ..
BTW Hongera kwa nidhamu.
mkuu wenye id zaidi ya nne ni wale wa kutukanana jukwaa la siasa au wametendwa kule mmu,kama we hata ukitukanwa unapotezea wala ban haikugusi
 
mkuu wenye id zaidi ya nne ni wale wa kutukanana jukwaa la siasa au wametendwa kule mmu,kama we hata ukitukanwa unapotezea wala ban haikugusi

Usipotukana kule jukwaa la siasa una moyo wa ajabu sana, Kuna misukule kule, kuna watu wanatumwa, kuna wengine wanapost ujinga kwa malipo halali ya TZS 7000/=
 
Usipotukana kule jukwaa la siasa una moyo wa ajabu sana, Kuna misukule kule, kuna watu wanatumwa, kuna wengine wanapost ujinga kwa malipo halali ya TZS 7000/=

mkuu mi natukana sometimes ila sijakutana na ban,jukwaa la siasa buku sana wanaudhi sana
 
Usipotukana kule jukwaa la siasa una moyo wa ajabu sana, Kuna misukule kule, kuna watu wanatumwa, kuna wengine wanapost ujinga kwa malipo halali ya TZS 7000/=

Kweli mkuu wale misukule wa Lumumba wanakera sana kama hutaki kutukana ni bora usifike kule

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom