Nimetembelea Arusha mara ya kwanza nimekutana na kabila linaitwa Waarusha, sijawahi kulisikia

Umuofia kwenu wanajamvi.

Katika pilika zangu za maisha nimeingia jijini Arusha kwa Mara ya kwanza. Cha kushangaza mwenyeji wangu kanitembeza Sanawari, Mianzini, Kijenge, Sakina, Morombo na maeneo mengi tu na nikagundua kabila wanaoitwa Waarusha.

Nilikuwa sijui hii kitu kabisa kwa sababu Arusha ni mkoa wa Wamasai. Pia wachaga ndiyo wenye jiji hili tofauti nilivyokuwa najua ni la wamasai. Makabila mengine makubwa jijini ni Wairaq na Wapare. Ni wengi mno jijini. Wamasai ni wachache mno.

Hili nilikuwa sijui kabisa na utafiti wangu mdogo wa sosholojia ya Arusha mjini umenijuza mengi. Nitakuja na mambo mengine mapya bila kusahau ile mitaa ya vituko ya Shivaz na Mrina.
kama ulikuwa hauwajui waarusha, umekuja mjini lini toka koromije? ndo maana tunasema bakini hukohuko shinyanga mfuge ng'ombe.
 
Wachagga wameshikilia uchumi Wa Mwanza, Dar , Kilimanjaro na Arusha japo wanachukiwa na watu flani siwataji ila mnawajua.

Wameru wapo Arusha na wanajitahidi kimaendeleo.

Wa Arusha ni Wamasai wa Mjini, hawa wamesendelea kidogo japo huwa hawakatwi mkono sweta.
 
Wachagga wameshikilia uchumi Wa Mwanza, Dar , Kilimanjaro na Arusha japo wanachukiwa na watu flani siwataji ila mnawajua.

Wameru wapo Arusha na wanajitahidi kimaendeleo.

Wa Arusha ni Wamasai wa Mjini, hawa wamesendelea kidogo japo huwa hawakatwi mkono sweta.
Nimeulizia nimeambiwa wanatahiriwa kwa kupelekwa jando wakiwa wakubwa kama ilivyo kwa mmeru na mmasai. Hadi miaka 13 na 18 ndiyo mtu hutahiriwa, tena nyumbani bila ganzi.
 
Sawa, utatusaidia sana
Asante.!

Katika historia Tanganyika then Tanzania hamna kabila linaloitwa Waarusha..,

Kwann..???

Fuatana nami...

Waarusha ni jamii inayotoka ndani ya Kabila la Wamaasai...,

Kama tujuavyo jamii za kifugaji hususani Wamaasai ni watu wanaishi kwa kuhamahama kwaajili ya kusaka malisho ya mifugo yao...,sasa wakati huo baadhi ya Wamaasai wali migrate kufika sehemu moja yenye vijilima vingi kwa Kimaasai inaitwa LEARUUSAH...,hili ni neno la Kimaasai maana yake sehemu yenye vijilima vingi...,kutokana na uhamiji mwingine toka nje ya jamii ya Kimaasai Yani Wachagga na Wapare kutoka mkoani K'njaro wakashindwa Ku pronounce vizuri hilo neno "LEARUUSAH" lenye asili ya Kimaasai waka pronounce "ARUSHA"...!!!

Kwa maana hiyo ile jamii ya Kimaasai iliyokuwa imehamia Arusha ikitafuta malisho ya mifugo yao wakajiita "WAARUSHA" na hii ukiangalia vizuri jiji la Arusha liko dominated na vijilima ndani yake.

Asante na karibu kwa maswali...
 
Habari kwenu jukwaani.

Mtakumbuka tarehe 13/12/2017, nilileta Uzi humu jukwaani: "Nimetembelea Arusha Mara ya kwanza nimekutana na kabila linaitwa waarusha, sijawahi kulisikia"

Nimegundua kabila hili wanaishi Wilaya ya Arusha, Arumeru na baadhi ya maeneo ya Monduli na mkoa wa Manyara ktk wilaya za Babati na baadhi ya maeneo ya Kiteto na simanjiro kutokana na kuuza aridhi kwenye chimbuko lao Arumeru na Arusha mjini na kuhamia huko kwingineko kulima na kufuga.

Pia nimekutana na kabila la wameru wanaoishi eneo la Meru ambayo ni halmashauri. Hawa naambiwa ni wabishi mno na wakali wasiotaka mzaha. Wamedai dayosisi, halmashauri na wapo mbioni kudai wilaya ya Meru. Mbunge wao ni Nasari.

Wamasai nilidhani ndiyo wenye mkoa peke yao, wanaishi Monduli, Ngorongoro, Longido bila kusahau mkoa wa Manyara.

Wairaq wasiopenda kuitwa wambulu wanaishi Karatu na pia mkoa wa Manyara. Pia kuna wasonjo wanaonekana kama wamasai ila hata lugha hawaelewani wanaishi pia Ngorongoro.

Naendelea kupokea maoni yenu kuhusu sosholojia ya mkoa wa Arusha.

Naelekea mkoa wa Mara kutafiti sosholojia ya huko nikitokea Ngorongoro kupitia Serengeti. Nitajieni jamii za huko Mara ila sitaki wakurya wenye mkoa, wazanaki, wajita na wajaluo. Nataka kusikia jamii ndogo ngeni.

Ahsanteni.
 
Waarusha siyo wamasai na wamasai siyo waarusha. Waarusha ni jamii ndogo inayoishi maeneo ya sanawari, loruvan, kisongo, kijenge, ngaramtoni, mukulat, duka mbovu, mateves na baadhi ya maeneo ya Lorkisalye wilaya ya monduli. Wanalima na kufuga na ukiwatizama wengi meno yao yameungua na kitabia ni wabishi na wanatamaa sana. Tofauti na wamasai ni kwamba hawa waarusha wanaaminika kwa uchawi umaojulikana kama Emoongo na wanaamini kwamba ukiwatendea kitu kibaya au kuwadhuluma wanapasua chungu na kuwadhuru familia yote kwa kifo cha moja baada ya mwingine na Mara nyingi mhusika mkuu anakufa wa mwisho. Siyo waaminifu sana kwa kufanya kazi nao.
Wamasai wao wanaishi maeneo ya wilaya za longido, simanjiro, ngorongoro na maeneo ya wilaya ya mwanga, handeni, mvomero, chalinze, kilosa na kutawanyika mpaka nchini Kenya county ya kajiado, uwasin ngishu, kaputyei na loitokitok. Ni jamii ya kifugaji kwa asilimia 100 na ni waaminifu sana ila wanawake na vijana ambao bado hawapitia jando(Llaiyok) hawapewi nafasi ya maamuzi mpaka watjibitishwe na viongozi wa mila wa rika(Llajijik) ambao wanajulikana kama Llaigwanak.
Rika zao zinashika hatamu kwa kuachiana(succession) kwa kutizama nguvu ya maamuzi kwa kuzingatia umri. Wakubwa wanawashauri wadogo na kamwe mdogo hawezi kubisha kitu akiambiwa na mkubwa na ikitokea hisia za kunyanyasika mdogo anakata rufaa kwenye vikao maalumu inayojulikana kama Engigwana ambapo kila upande unapata nafasi ya kujitetea na kusikilizwa bila upendeleo na mwishoni maamuzi yanatolewa. Kama mkubwa atakuwa amemtendea mdogo hila ataambiwa ila mdogo haambiwi moja kwa moja kuwa amekosewa na mkubwa Bali itategemea ni kitu gani anadai na kikao kitaamuru arudishiwe haki zake zote na kuamriwa kuwainua wazee kwa kuwanunulia kinywaji ili abarikiwe.
Hivyo ndivyo mambo yalivyo Kule kwa kifupi.

Nawasilisha
mkuu nashuhudia baadhi ya maneno yako niliwahi kuishi na mmoja wa hawa waarusha kiukweli ilikuwa shida sana kumsoma na hakuwa mwaminifu kivile nakumbuka mwishowe aliniliza akasepa mazima.

na ni kweli ni watu wanaoficha sana asili yao. naungana na wengi wanasema hawa ni wamasai wa kimjinimjini.
 
Niwamasai tu tena hadi lugha wanasikilizana vizuri
Vipi Wanyamwezi na wasukuma wanaosilizana mbona sio kabila moja?

Unawazungumziaje Waluguru na Wazaramo, wakerewe na wajita, wameru na wamachame ambao nao huelewana na kusikilizana vizuri sana?
 
Mstari wa mwisho umedanganya big time. Wewe ni muongo uliekubuhu
Wachagga wameshikilia uchumi Wa Mwanza, Dar , Kilimanjaro na Arusha japo wanachukiwa na watu flani siwataji ila mnawajua.

Wameru wapo Arusha na wanajitahidi kimaendeleo.

Wa Arusha ni Wamasai wa Mjini, hawa wamesendelea kidogo japo huwa hawakatwi mkono sweta.
 
Kuna sehemu inaitwa Arusha Chini ipo Moshi, je asili yake ni ipi?
Asante.!

Katika historia Tanganyika then Tanzania hamna kabila linaloitwa Waarusha..,

Kwann..???

Fuatana nami...

Waarusha ni jamii inayotoka ndani ya Kabila la Wamaasai...,

Kama tujuavyo jamii za kifugaji hususani Wamaasai ni watu wanaishi kwa kuhamahama kwaajili ya kusaka malisho ya mifugo yao...,sasa wakati huo baadhi ya Wamaasai wali migrate kufika sehemu moja yenye vijilima vingi kwa Kimaasai inaitwa LEARUUSAH...,hili ni neno la Kimaasai maana yake sehemu yenye vijilima vingi...,kutokana na uhamiji mwingine toka nje ya jamii ya Kimaasai Yani Wachagga na Wapare kutoka mkoani K'njaro wakashindwa Ku pronounce vizuri hilo neno "LEARUUSAH" lenye asili ya Kimaasai waka pronounce "ARUSHA"...!!!

Kwa maana hiyo ile jamii ya Kimaasai iliyokuwa imehamia Arusha ikitafuta malisho ya mifugo yao wakajiita "WAARUSHA" na hii ukiangalia vizuri jiji la Arusha liko dominated na vijilima ndani yake.

Asante na karibu kwa maswali...
 
Mstari wa mwisho umedanganya big time. Wewe ni muongo uliekubuhu
wewe huijui Arusha, Ngaramtoni, Sakina, Mbauda, Kwa Iddi, Matejoo, Chemchem , Oljoro huko wanakaa wa Arusha, uliza mwanamke aliye date nao, huwa wana mkono sweta na mostly wakati wa ku-duu wana "fodoa" naniliu lao.
 
Mkuu mimi ni maasai sio mwaarusha..kuna jamaa huko nyuma kafafanua vizuri.

Waarusha ni uzao wa maasai tu[hatuwakatai maana tunashare baadhi ya vitu na ni ndugu zetu].
Waarusha huwa hawataki waiter hovyo hujiita wamasai maana tabia zao duh.
Yero subai daby
 
Hapa ninapoandika nipo Arusha. Waarusha hutahiriwa kwa kufuata rika. Hivyo yawezekana unawazungumzia vijana ambao wamepitwa na tohara na hivyo kulazimika kusuburi awamu nyingine. Hakuna kijana wa kiarusha anaetahiriwa mtoto. Rika hutahiriwa kwa kipindi cha miaka 7 na awamu hiyo ikiisha husubiri miaka 7 mingine. Mathalani sasa hivi sio kipindi cha tohara na ambao hawajatahiriwa kwenye rika jipya wanalazimika kusubiri miaka 7 ipitite toka tohara ya mwisho kufanyika.
Waarusha hupelekwa porini kisha hutahiriwa alfajiri na ngariba bila ganzi.
Jaribu kuwauliza wanaojua watakuambia
wewe huijui Arusha, Ngaramtoni, Sakina, Mbauda, Kwa Iddi, Matejoo, Chemchem , Oljoro huko wanakaa wa Arusha, uliza mwanamke aliye date nao, huwa wana mkono sweta na mostly wakati wa ku-duu wana "fodoa" naniliu lao.
 
Back
Top Bottom