nimezoeana sana na demu wa rafiki yangu na mpaka leo ni marafiki wakubwa yeye na bwana wake,kuzoeana huko ilifika hatua bila mimi yule binti hafanyi kitu,akitaka kutoka lazima aniite,akitaka kusindikizwa sehemu bwana wake hayupo natafutwa mimi,mpaka jamaa akaanza kusema mi natembea na demu wake au nampenda demu wake. mana demu kutwa kucha lazima aniongelee akiwa na mshkaji,mi mshkaji kuniuliza nikakana kwani sikuwahi kutembea nae na nilikua najiamini siwez kufanya kitu kama hicho kwa mshkaji.
ila siku ya siku wakati nimeenda kumtembelea bwana wake akiwa sebuleni na washkaji wengine nae alikuepo jikoni. wakati naenda chooni kurudi nakutana nae korido, tukawa tumesimama tunaongea tukiwa tumekaribiana. sijui akili yangu ilihamia wapi katika sekunde chache tu nilivyomuangalia mdomoni nikapatwa na hamu ya kumkiss na hapohapo nikajikuta tunanyonyana ndimi haikuchukua mda nikawa nishamvua chupi yule binti chooni wakat bwana wake yupo sebulen wakipata maji ya dhahabu
baada ya kile kitendo nikawaza sana nikaona nichague moja urafiki au yule binti.nikaamua kuchagua rafiki kuanzia siku hiyo namuepuka binti kua nae karibu ingawa mwenyewe anajarb kujisogeza zaidi kwangu
jamani nifanyeje huyu binti ananisumbua? je niache kuwa rafiki yao ?
mwananthropologia,
我認為跟你的朋友的女朋友有約了,非常不禮,別在跟她 (wo renwei gen nide pengyoude nupengyou feichang bulimao,bie zai gen ta )
mwambie huyo jamaa yako akupe ushauri! marafiki ni pamoja na kushauriana!
aisee wewe na huyo demu wakareee! mlitumia kinga kweli au kavu kavu?
unafaa sana kuwa msaidizi wake hata wa ndani maana ndiko ulikokuwa unaelekea,hebu kata mawasiliano na shemeji yako haraka iwezekanavyo ila namhurumia huyo rafiki yako kwa kupata mwanamke asiyejitambua na kuthamini utu wake.
The answer is obvious.Kwa dharura ile kinga ingepatikana wapi?aisee wewe na huyo demu wakareee! mlitumia kinga kweli au kavu kavu?
afu nnekumiss wewee....
lol mbona wanitisha hivyo
Story yako ni ya uwongo. Wewe si ulikuja juzi hapa na thread yako kuwa kuna demu umemfukuzia kwa zaidi ya 2yrs anakuzingua na ukamua kumtema na nikakuponda kuwa wewe siyo anthropologist. Leo hii umekuja na story ya demu wa rafiki yako. Have y'r way. Acha kuchezea akili zetu.
mkuu sina njia kukuaminisha,huyu sio demu wangu ajali tu imetokea
TO KNOW YOUR HISTORICAL ROOTS IS THE ONLY WAY TO BECOME A HUMAN BEING. IT IS THE ONLY WAY BE MORE THAN A NAKED APE. IT IS THE ONLY WAY TO AVOID FLOATING IN A VACUUM 'GERMAN POET GOETHE'