nimetembea na demu wa mshkaji


endelea kumgegeda tuu...ila hakikisha unamla kabang
 

wo xianzai bu gen ta shuo duo,wo paobu ta
 
Mimi ilinitokea, jamaa alimla demu wangu hivi hivi, mbaya zaid nilienda mkoa flan kikazi jamaa akawa amejipatia mke wa bwerere, nilikosa nimlaumu nani niache nani, Sikuwa na jinsi ila kuachana na wote, roho iliniuma sana, maana demu

kasema rafiki yangu alimshawish, rafiki yangu anasema aalitegwa sana akashindwa kujizuia, Nikawapotezea kabisa, sasa demu akanifuatilia akiomba msamaha, ilibid nimwambie akiedelea nampeleka police, akawa amenikoma kama...
..........., kwa sasa ingekuwa imenitokea tena na mwiz wangu ukawa wewe, NAKULISHA SUMU UFIE MBALI NYAU
 
我喜欢,但是认为它是否是面对此的您
 
unafaa sana kuwa msaidizi wake hata wa ndani maana ndiko ulikokuwa unaelekea,hebu kata mawasiliano na shemeji yako haraka iwezekanavyo ila namhurumia huyo rafiki yako kwa kupata mwanamke asiyejitambua na kuthamini utu wake.

Ndani ya dakika moja amepigwa denda na kuingiziwa mtalimbo pasipo hata ku-negotiate kweli huyo ni balaa maana sijui wote wawili walikuwa wana mawazo gani. kama jamaa amegundua kosa lake ni vizuri akaachana na hiyo business ikiwezekana si kumkimbia tu huyo demu bali amweleze kabisa kujutia hicho kitendo kilichofanyika
 
Uzuri huyo rafiki yako ni member humu na ameshasoma kilichoandikwa
 
lol mbona wanitisha hivyo

Ndo kifuatacho hicho tena watoto mapacha.

BTW; hivi inakuwaje watu mnakosa adabu kiasi hicho?
Na wewe ni mwanaume na unatarajia kuoa, utajisikiaje mkeo akikufanyia hivyo??

Alafu sema tu ukweli kwamba unataka kurudia hako kamchezo ila unaogopa kugundulika.
Ndo maana unashindwa kumuavoid huyo dada.
 

Tusubirie hadithi nyingine tena Kali zaidi
 
Hii stori imenikumbusha mbali sana, wanawake ni watu wa ajabu sana.
 
mkuu sina njia kukuaminisha,huyu sio demu wangu ajali tu imetokea

TO KNOW YOUR HISTORICAL ROOTS IS THE ONLY WAY TO BECOME A HUMAN BEING. IT IS THE ONLY WAY BE MORE THAN A NAKED APE. IT IS THE ONLY WAY TO AVOID FLOATING IN A VACUUM 'GERMAN POET GOETHE'

Mbona umetengeneza signature nzuri sana halafu wewe ndio unakuwa kinyume na huo ujumbe wako? hebu jaribu kuufuta kwanza au kubadili hiyo signature kisha urudi kama muhitaji tiba maana huwezi kuomba shilingi 200 wakati unaendesha shangingi.
 
Wewe hufai kwenye jamii yoyote hapa duniani. Ushauri wangu ni kuwa, meza fragyl tatu (vidonge) na bia moja ili kuondoa kabisa mawazo ya kula mademu wa rafiki zako. Itakusaidia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…