sonyo la mwana ukome hiloo...&&
Ha ha ha.. Na kweli atakoma lol..
Ngoja nikusaidie kulia
I hate you gys so much.. Michepuko michepuko weng wenu humu mnafuata mkumbo tu. ina maana hapo ungekuwa umeshamuambukiza mchumba wako Ukimwi. Akyanani W'ume nyiny Mungu wenu cjui n yupi!! maana hp duniani hatuwaelew mnataka nn mrithike.
Kwa ushaur suala la kuoa kwa ss acha wala ucfikirie, utapokuwa umeshacheza mechi nying na umetosheka ndio uoe lacyo utateseka. Kuen muda mwngne. Fikirien na kichwa cha kwanz ila hicho cha pili kinadanganya na mwshowe huletaga majuto..!!
Mnapenda kuchomeka kila shimo mengine yana ngadu
Hadi unakula mchepuko bila kndomu mkuu ulijitoa ufahamu?
muoe sasa
Hahahahahahaaaa
Inakera sana...lijitu linajipigia tu kavukavu huko afu likiambiwa binti kanasa linaanza kuhaha
Ndo umejua leo???sio kila comment uquote nyingine unaviacha vidole vipumueUlichokielezea hapo inashabihiana na tabia halisi