Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,827
- 15,015
hiyo ndo tabu ya kutoka na michepuko wabovu na wasio na vigezo..sasa kama wife ni bora kuliko mchepuko why ulichepuka..Kanizidi umri na haja kizi vigezo vya kua wife
hiyo ndo tabu ya kutoka na michepuko wabovu na wasio na vigezo..sasa kama wife ni bora kuliko mchepuko why ulichepuka..Kanizidi umri na haja kizi vigezo vya kua wife
Sizani kama ndoa itakuepo tena akijua
pole ya nini sasa hapo...?Pole sana
pole ya nini sasa hapo...?
inasikitiha sana.....Mkuu kuna vitu vingine unashindwa hata kushauri
pole ya nini sasa hapo...?
Yani me hata kama mtu nampendaje... akimpa tu mimba msichana mwingine, ndo utakuwa mwisho wetu huo. No discussion
Mwambie ukweli sasa huyo mchumba wako afu ujue reaction yake. Ila sometimes wanaume mnashangaza, eti ooh ni mkubwa kwangu afu hana vigezo vya kuwa mke, kilichokufanya ukachepuke kwake ni nini? Si una mchumba wako mwenye vigezo vya kuwa mke jamani?
Kanizidi umri na haja kizi vigezo vya kua wife
problem solvedKabla hujaoa...mweleze huyo mchumba wako!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kanizidi umri na haja kizi vigezo vya kua wife
kwa hyo wkt unamkatikia mauno mpaka ukamjaza mimba hukujua kuwa kakuzidi umri na hakua na vigezo unavyovitaka?
Ha ha ha.. Hivi unajua sheria inayohusu ulezi wa mtoto wewe..? Sheria inakulazimisha kutoa matunzo kwa mwanao dude..! Na usije ukajidanganya utatelezea na mtoto kuja mwenyewe akikua..
Lakini vile vile its morally unjustified baba mzima kukaa na kutotoa matunzo kwa mwanao ambae ni damu yako kabisa.. So wewe unachotakiwa kufanya ni kukubali na kulazimisha uwe sehemu ya kumlea mwanao..
Yani me hata kama mtu nampendaje... akimpa tu mimba msichana mwingine, ndo utakuwa mwisho wetu huo. No discussion
Mwambie ukweli sasa huyo mchumba wako afu ujue reaction yake. Ila sometimes wanaume mnashangaza, eti ooh ni mkubwa kwangu afu hana vigezo vya kuwa mke, kilichokufanya ukachepuke kwake ni nini? Si una mchumba wako mwenye vigezo vya kuwa mke jamani?
Mimi nina michepuko miwili ,mmoja hana kizazi na mwengine nimempata karibuni huwa nabutua tu kwa kuvaa kinga na ule mwengine huwa natupia risasi kali sana
Sasa hapo njia panda,maadamu umegunduaNishapoa ila niko njia panda
Yeye kachepuka halafu sisi tusichepuke?
hii haiwezekani walahi.