Mmmh tunajisahau na nini Jaman? Ila ujue Kuwa hata huo mchepuko ukishakuwa main chick atajisahau tu pia. Kuchepuka sio solution, Kama kuna mapungufu ongea tu vizuri na mwenzio mtafute solution ya tatizo. Umechepuka, si Umeona yalokukuta sasaUjue shida iliyopo kwa nyie akina dada mkishaona kua mtu kajifunga kwako basi mnajisahau kabisaa, ila mchepuko uwa unaraha yake maana uwa kuna vionjo vya kila namna ilimradi akuteke, ila kwasasa sitaki kusikia mchepuko kabisaa
Mmmh tunajisahau na nini Jaman? Ila ujue Kuwa hata huo mchepuko ukishakuwa main chick atajisahau tu pia. Kuchepuka sio solution, Kama kuna mapungufu ongea tu vizuri na mwenzio mtafute solution ya tatizo. Umechepuka, si Umeona yalokukuta sasa
serves you right, silly sob!!! natamani na mchumba wako angekuja hapa na kupost issue kuwa kuna kidume kimemjaza mimba bila yeye kushtukia ishu...mgeenda sawa
Kwa kweli vijana tutulie tubaki njia kuuu michepuko ya nini na vip mchumba wako alikuwa mbali mpaka ukaanza kuchepuka au ndio ile kuwa mwanaume hawi na mwanamke mmoja
Umasema??? Haya mkuu
Vipi akiwa anapiga tu bila mimba?Yani me hata kama mtu nampendaje... akimpa tu mimba msichana mwingine, ndo utakuwa mwisho wetu huo. No discussion
Mwambie ukweli sasa huyo mchumba wako afu ujue reaction yake. Ila sometimes wanaume mnashangaza, eti ooh ni mkubwa kwangu afu hana vigezo vya kuwa mke, kilichokufanya ukachepuke kwake ni nini? Si una mchumba wako mwenye vigezo vya kuwa mke jamani?
Hahaha hiyo inategemea mambo mengi. Unaweza kuachwa instantly au usiachwe kwanza. sema hata usipoachwa, trust haitokuwepo tena na eventually tutaachana tu. Trust Ni kitu cha muhimu mnoooVipi akiwa anapiga tu bila mimba?
Unaamka wakati kumeshakucha!!