Nimetegeshewa mimba bila kujijua

Nimetegeshewa mimba bila kujijua

Hucpomwambia mtarajiwa wako kuhusu ilo swala,baadae litakuja kukusumbua kuliko unavyofkiria sasa
 
Huyo siyo kama ameamua anakuweka kwenye mabano utakapo oa tu na yy atatia timu na mtoto kuwa makini kaka yangu yalimkuta kama yako chukua tahadhari mapema
 
Wito wangu kwenu: Tuache michepuko jamani na tukumbuke kutumia kinga pindi unapochepuka.
[/SIZE][/QUOTE]

We hukuyajua haya pindi unachepuka:what::what:
 
HatA kuto kuvaa condom pia ulitegeshewa bila kujua... Zombi zomboko
 
Wito wangu kwenu: Tuache michepuko jamani na tukumbuke kutumia kinga pindi unapochepuka.
[/SIZE]

We hukuyajua haya pindi unachepuka:what::what:[/QUOTE]

Sikuamini kama angenitegeshea maana anajua kama hana nafasi yakuishi na mimi
 
Hebu ukapime na ukimwi kabisa
 
We hukuyajua haya pindi unachepuka:what::what:

Sikuamini kama angenitegeshea maana anajua kama hana nafasi yakuishi na mimi[/QUOTE]

Nafasi ya kuishi na ww haikuwepo ila nafasi ya kulala ndio ilikuwepo. Acha ukome na umalaya wako,tena km ndo ningekuwa mm ningehamia kbs kwako ili tulee vizuri hiyo mimba.
 
Sikuamini kama angenitegeshea maana anajua kama hana nafasi yakuishi na mimi

Nafasi ya kuishi na ww haikuwepo ila nafasi ya kulala ndio ilikuwepo. Acha ukome na umalaya wako,tena km ndo ningekuwa mm ningehamia kbs kwako ili tulee vizuri hiyo mimba.[/QUOTE]

Hahahahaaa aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom