Nimetegeshewa mimba bila kujijua

Nimetegeshewa mimba bila kujijua

Mteule halisi

Senior Member
Joined
Oct 21, 2014
Posts
197
Reaction score
98
Naomba nianze kwa kuwasalimu wapendwa,

Yapata miezi mitatu tangu nikutane kimwili na mchepuko wangu, bado sijaoa ila niko kwenye uchumba yapata mwaka wa pili na bibie ambae nimempa nafasi ya kuja kua mke. Katika swala la kujamiiana na ule mchepuko pamoja na mpenzi wangu uwa natumia kalenda tu kuepuka mimba na swala la kinga uwa naliweka pembeni.

Sasa siku ya mwisho kukutana kimwili na ule mchepuko kumbe ulinidanganya na kunitegeshea siku ya hatari na hatimae nikampa mimba bila kujijua, akanitafuta wiki iliyopita na kuniambia ukweli, nikaona ni utani nikamwambia njoo tukapime na kweli akaja na nikathibitisha ni mjamzito.

Kwakweli niliogopa na kuwaza mengi ila akasema kwakua kaamua yeye basi garama za kuitunza adi kulea ni juu yake labda mimi niamue tu kumsaidia na mpaka sasa ujauzito una miezi mitatu. Sasa kupitia hilo kwakweli nimepata fundisho juu ya kumuamini mtu na kutotumia kinga maana nimewaza ni vipi angekua muathirika na kuamua kuniambukiza?

Sasa niko njiapanda maana mchepuko wenyewe umenizidi umri na anadai kafanya hivyo kwakua umri wake umeenda na anaogopa kuzeeka bila mtoto! Na hata ikitokea nikaoa na baadae ikajulikana kua nilikua nachepuka na nina mtoto sijui ndoa itavunjika au vipi.

Wito wangu kwenu: Tuache michepuko jamani na tukumbuke kutumia kinga pindi unapochepuka.
 
Nashangaa vijana mnavyokuwa sperm donors kirahisi hivyo na baadae damu zenu mnazitelekeza msipopajua.

Bado hujajua thamani ya mtoto/damu yako wewe, utachepuka mara ngap na kujaza wengine mimba?

Huyo mtoto atarudi kwako tu, utake usitake tena inawezekana ikawa sooner than you expected. Andaa maelezo ya kunyoosha kwa mke wako mapema.
 
Umechepuka dry, PO game weak na bado ukajiachia, umegoma kukubali majukumu, na una-play blame games.
The Jury finds you guilty bro.
 
Nashangaa vijana mnavyokuwa sperm donors kirahisi hivyo na baadae damu zenu mnazitelekeza msipopajua.

Bado hujajua thamani ya mtoto/damu yako wewe, utachepuka mara ngap na kujaza wengine mimba?

Huyo mtoto atarudi kwako tu, utake usitake tena inawezekana ikawa sooner than you expected. Andaa maelezo ya kunyoosha kwa mke wako mapema.

Apo ndo pananinyima usingizi, ni heri asijue kwasasa aje kujua mbele ya safari huko
 
ila akasema kwakua kaamua yeye basi garama za kuitunza adi kulea ni juu yake labda mimi niamue tu kumsaidia

Ha ha ha.. Hivi unajua sheria inayohusu ulezi wa mtoto wewe..? Sheria inakulazimisha kutoa matunzo kwa mwanao dude..! Na usije ukajidanganya utatelezea na mtoto kuja mwenyewe akikua..

Lakini vile vile its morally unjustified baba mzima kukaa na kutotoa matunzo kwa mwanao ambae ni damu yako kabisa.. So wewe unachotakiwa kufanya ni kukubali na kulazimisha uwe sehemu ya kumlea mwanao..
 
Yani me hata kama mtu nampendaje... akimpa tu mimba msichana mwingine, ndo utakuwa mwisho wetu huo. No discussion

Mwambie ukweli sasa huyo mchumba wako afu ujue reaction yake. Ila sometimes wanaume mnashangaza, eti ooh ni mkubwa kwangu afu hana vigezo vya kuwa mke, kilichokufanya ukachepuke kwake ni nini? Si una mchumba wako mwenye vigezo vya kuwa mke jamani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom