Nimetapeliwa na mwanamke mtandaoni

Nimetapeliwa na mwanamke mtandaoni

Weka hapa kaka kwa manufaa ya wengi/ umma
Ahahahah..haya masuala nilishaachana nayo. Nilifanya immediatelly after breakup ila nikajigundua ia not my thing japo nilikua nayafanya kwa ufanisi 😂.
Nikaamua kuachana nayo baada ya kugundua kwangua sex sio suala la kuchomeka na kuchomeka au kuwa tu na mwanamke but kwangu nahitaji sana deep connection kabla ya sex.
 
Ahahahah..haya masuala nilishaachana nayo. Nilifanya immediatelly after breakup ila nikajigundua ia not my thing japo nilikua nayafanya kwa ufanisi 😂.
Nikaamua kuachana nayo baada ya kugundua kwangua sex sio suala la kuchomeka na kuchomeka au kuwa tu na mwanamke but kwangu nahitaji sana deep connection kabla ya sex.
Weka mbinu ili kijana asiliwe pesa zake ovyo ovyooo
 
Nina omba msamaha kwa uongozi wa CHAPUTA kwa hili kosa. Jana nimeingia kwenye app ya tagged nikapata manzi na tukaelewana bei, Sasa leo nikamcheki aje kasema nimtumie nauli, nikatuma akasema anakuja mimi nikaenda lipia lodge nimesubiri nikaona kimya nikamvutia waya.

Drama zikaanza mara ooh simu yangu inazima ya mkopo nitumie hela nilipie ila niwasiliane na ww nikiwa nakuja, machale yakagonga nikamwambia mpe boda yoyote namba angu anicall atakuleta nilipo manzi akachimba.

Dadeki lodge nimelipia pesa imeenda bure. Nilichojifunza wakuu UZINZI NI GHARAMA SANA NA TUJIFUNZE KU CONTROL HIKI KICHWA CHA CHINI.
Naona uzi wa uzinzi upo kasi sana.... comments za kutosha. Kwa upande wangu nakushauri acha kupitia mlolongo mrefu ukibanwa na haja.. nenda sehemu wanapouza ununue. Cha muhimu tumia kinga.
 
Wapo ambao huduma ya room ni juu yao, utundu wote unapata kwa bei ya chini.

Hayo mambo ya kulipia lodge kabla hajafika tunayafanya kwa pisi zetu tu ambazo ni 98% lazima aje.

Hizo nyingine mnacheza mchezo wa kutoaminiana mpaka mnakutana.
 
Nina omba msamaha kwa uongozi wa CHAPUTA kwa hili kosa. Jana nimeingia kwenye app ya tagged nikapata manzi na tukaelewana bei, Sasa leo nikamcheki aje kasema nimtumie nauli, nikatuma akasema anakuja mimi nikaenda lipia lodge nimesubiri nikaona kimya nikamvutia waya.

Drama zikaanza mara ooh simu yangu inazima ya mkopo nitumie hela nilipie ila niwasiliane na ww nikiwa nakuja, machale yakagonga nikamwambia mpe boda yoyote namba angu anicall atakuleta nilipo manzi akachimba.

Dadeki lodge nimelipia pesa imeenda bure. Nilichojifunza wakuu UZINZI NI GHARAMA SANA NA TUJIFUNZE KU CONTROL HIKI KICHWA CHA CHINI.
Mwanamke usimuamini kama jamaa mwenye geto hili
 
Ahahahah..haya masuala nilishaachana nayo. Nilifanya immediatelly after breakup ila nikajigundua ia not my thing japo nilikua nayafanya kwa ufanisi 😂.
Nikaamua kuachana nayo baada ya kugundua kwangua sex sio suala la kuchomeka na kuchomeka au kuwa tu na mwanamke but kwangu nahitaji sana deep connection kabla ya sex.
Bila shaka unamkumbuka shemeji yetu na ndio hivyo tena
 
Back
Top Bottom