BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,050
- 10,482
Huu mwaka nikiumaliza salama basi nitakuwa nimefuzu astashahada ya kitaaolojia. Jana saa 12 nilikuwa na huyo bibie ambaye ni somebody wife wakati tupo uchochoroni akapita jirani yake ikabidi tuzuge kuwa kila mtu yupo na mishe zake. Sasa wakati natoka yule jamaa akaniita akaniambia mume wake akijua atanikata na chainsaw nikipata na hofu ikabidi nigeuze nisirudi geto nikaenda bar ya jirani.
Nimenunua Smartgin yangu na Coca Sasa wakati na sip pembeni alikuwa bro Fulani wale maBig boys tukaanza stori ghafla akaniambia dogo mbona unaishi maisha ya shida sana nikareply mfumo umenikataa brother, akaniambia usijali mi ni Dereva wa Semi nimepaki barabarani natafuta chalii mjanja wa kuwa tingo wangu kama upo tayari njoo tupige kazi ila utachangia kilo kama fee nikalilia akakubali nimpe hamsa nikamvutia waya bimkubwa kuwa anikope 50 akanitumia 20 ikabidi niende geto Kwa kujificha kuchukua pasi na jagi nikavisukuma Kwa 25 nikaongezea 5 nikamkabidhi yule bro.
Nilikuwa na shauku ya ile kazi Kwa kuzingatia mimi nipo more interested na kusafiri pia ilikuwa opportunity ya Mimi kumkimbia mke wa mshikaji.
Yule bro akaniambia Kuna mzigo anaenda kuangusha nao ila tukawa tumeachiana contacts. Toka hapo hatujaonana mpaka wakati huu na contact zake hapatikani.
Nimenunua Smartgin yangu na Coca Sasa wakati na sip pembeni alikuwa bro Fulani wale maBig boys tukaanza stori ghafla akaniambia dogo mbona unaishi maisha ya shida sana nikareply mfumo umenikataa brother, akaniambia usijali mi ni Dereva wa Semi nimepaki barabarani natafuta chalii mjanja wa kuwa tingo wangu kama upo tayari njoo tupige kazi ila utachangia kilo kama fee nikalilia akakubali nimpe hamsa nikamvutia waya bimkubwa kuwa anikope 50 akanitumia 20 ikabidi niende geto Kwa kujificha kuchukua pasi na jagi nikavisukuma Kwa 25 nikaongezea 5 nikamkabidhi yule bro.
Nilikuwa na shauku ya ile kazi Kwa kuzingatia mimi nipo more interested na kusafiri pia ilikuwa opportunity ya Mimi kumkimbia mke wa mshikaji.
Yule bro akaniambia Kuna mzigo anaenda kuangusha nao ila tukawa tumeachiana contacts. Toka hapo hatujaonana mpaka wakati huu na contact zake hapatikani.