watoto wazuri kuna siku nitafika brazil.Unyama kaka
unyama sana kaka ukipata nafasi nenda maisha popote.Unyama kaka
Mungu akufanyie wepesi ufanikiwe katika harakati zako.Me mwaka huu nataka Kusepa
ukifika changanya damu fasta na watoto wa kilatino.Me mwaka huu nataka Kusepa
ukikomaa ndani ya muda utapata makaratasi yao itakua fursa kwako pia.Ameen Mzazi
uraia wao sidhani kama utakua mgumu sana kupata kuna mdau JF hapa alisema ukikaa ndani ya miaka miwili bila kuvunja sheria au kosa lolote la uvunjifu wa sheria unapata makaratasi sijui ni kweli?Muhimu hilo mzazi tunaenda kuforce uraia kwanza
utafanikiwa pambana bila kuchoka.Yeah ni kwel mzazi miaka miwili tu
Wanaongea kireno sana sanaKingereza sio sana ila tutakomaa nao tu