kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,588
- 12,708
Ni mkeo au ni wewe mkuu?Hata mimi mke wangu alikuwa anakutana na changamoto ya namna iyo.nilimkutanisha na jamaa yangu IT wa pale utumishi na alimsaidia,sasa hivi akiomba inakuwa freh tu ila bado mungu hajajalia kupata kazi.muda ukifika naamini atapata tu.