pendo shununu
Member
- Apr 23, 2016
- 32
- 28
Mm ni mama wa watoto wawili, nafanya kazi na nimeolewa.
Nikiri tu kwamba nimekua na uhusiano usiofaa na rafiki wa Mr wangu kwa karibu miaka miwili, kituo cha kazi cha Mr ni nje ya dar, kazi zetu ni too demanding kiasi kwamba nafasi ya kutembeleana imekua ni Shida sana, mfano mm nafanya kazi hadi Saturday saa kumi jioni, mara nyingi hata jumapili naitwa kwenda jambo ambalo ni kawaida sana, hivyo naogopa kutoka nje ya dar katika weekend maana naweza kuitwa any time, kwa upande wa Mr nae ni hivyo.
Kwa Hali hii tunaweza maliza miezi mitatu na zaidi Bila kutembeleana, hadi mtu uombe ruhusa rasmi kazini.
Ni katika hali hii nikajikuta naanzisha urafiki usiofaa na best friend wa mume wangu, tumedumu kwa miaka miwili, yeye anaishi na familia yake hapa hapa dar Ingawa yy na mkewe wanapitia kipindi kigumu sana kwa sasa ni kama wanalea watoto tu,
Hivi karibuni katika hali isiyotarajiwa Mr akapata uhamisho kurudi dar, kwa kweli wote tulifurahi sana, ni hapo sasa ndipo niliamka usiku mmoja na kuanza kutafakari kuhusu uhusiano wangu na rafiki wa Mr, kwamba itakuaje sasa, ni rahisi kushikwa, tutauendeshaje huu uhusiano na Mr akiwepo? Je naweza kumudu kuwa na wanaume wawili, katika maswali yote niliyojiuliza majibu yakawa ni NO haiwezekani, hivyo nikanuia kuuvunja uhusiano huo haramu.
Nikatafuta nafasi nikakaa nae yule mpenzi wangu nikamwambia kwa manufaa ya pande zote mm na wewe basi kila mtu aendelee na familia yake, kwa kweli alilia kama mtoto mdogo, akinikumbatia miguuni, nikasisitiza msimamo wangu na nikaondoka maana watu walianza kutushangaa.
Nifupishe tu kwa kusema kwamba, Huyu bwana amegoma kukubali matokeo na kuanza ku behave kama mtoto mdogo hivyo kuhatarisha ndoa yangu, amemchukia mume wangu ghafla na ni kama amegeuka adui, kiasi kuwa juzi Mr ameshangaa sana na kuniuliza kuwa mshikaji tumemkosea nini mbona juzi nimeenda kwake kanichunia, akaondoka na kuniacha sebuleni kwake?
Mr akaniuliza wewe unajua chochote juu ya mabadiliko haya, maana hata simu hapokei, mm nikamjibu sijui chochote.
Sasa hivi ameanza kunipigia simu na kunitishia maisha na mambo mengine, nafikiria kumripoti polisi lakini naogopa mambo yakishafika hatua hiyo kila kitu kinaweza kuwa wazi, halaf ndoa yangu ikavurugika. Au niendelee nae hivyo hivyo kwa kificho na umakini?
Naombeni ushauri wenu, maana mm nilitaka kuachana na hili jambo moja kwa moja lakini situation imekua very tense.
Kiukweli nilikua na mshikaji kwa kampani tu ila nampenda Mr wangu, hivyo naomba isieleweke kuwa mm ni mhuni, na ni shetani tu ndio alinidanganya nikajikuta nimeanzisha uhusiano huo
Help please.
Nikiri tu kwamba nimekua na uhusiano usiofaa na rafiki wa Mr wangu kwa karibu miaka miwili, kituo cha kazi cha Mr ni nje ya dar, kazi zetu ni too demanding kiasi kwamba nafasi ya kutembeleana imekua ni Shida sana, mfano mm nafanya kazi hadi Saturday saa kumi jioni, mara nyingi hata jumapili naitwa kwenda jambo ambalo ni kawaida sana, hivyo naogopa kutoka nje ya dar katika weekend maana naweza kuitwa any time, kwa upande wa Mr nae ni hivyo.
Kwa Hali hii tunaweza maliza miezi mitatu na zaidi Bila kutembeleana, hadi mtu uombe ruhusa rasmi kazini.
Ni katika hali hii nikajikuta naanzisha urafiki usiofaa na best friend wa mume wangu, tumedumu kwa miaka miwili, yeye anaishi na familia yake hapa hapa dar Ingawa yy na mkewe wanapitia kipindi kigumu sana kwa sasa ni kama wanalea watoto tu,
Hivi karibuni katika hali isiyotarajiwa Mr akapata uhamisho kurudi dar, kwa kweli wote tulifurahi sana, ni hapo sasa ndipo niliamka usiku mmoja na kuanza kutafakari kuhusu uhusiano wangu na rafiki wa Mr, kwamba itakuaje sasa, ni rahisi kushikwa, tutauendeshaje huu uhusiano na Mr akiwepo? Je naweza kumudu kuwa na wanaume wawili, katika maswali yote niliyojiuliza majibu yakawa ni NO haiwezekani, hivyo nikanuia kuuvunja uhusiano huo haramu.
Nikatafuta nafasi nikakaa nae yule mpenzi wangu nikamwambia kwa manufaa ya pande zote mm na wewe basi kila mtu aendelee na familia yake, kwa kweli alilia kama mtoto mdogo, akinikumbatia miguuni, nikasisitiza msimamo wangu na nikaondoka maana watu walianza kutushangaa.
Nifupishe tu kwa kusema kwamba, Huyu bwana amegoma kukubali matokeo na kuanza ku behave kama mtoto mdogo hivyo kuhatarisha ndoa yangu, amemchukia mume wangu ghafla na ni kama amegeuka adui, kiasi kuwa juzi Mr ameshangaa sana na kuniuliza kuwa mshikaji tumemkosea nini mbona juzi nimeenda kwake kanichunia, akaondoka na kuniacha sebuleni kwake?
Mr akaniuliza wewe unajua chochote juu ya mabadiliko haya, maana hata simu hapokei, mm nikamjibu sijui chochote.
Sasa hivi ameanza kunipigia simu na kunitishia maisha na mambo mengine, nafikiria kumripoti polisi lakini naogopa mambo yakishafika hatua hiyo kila kitu kinaweza kuwa wazi, halaf ndoa yangu ikavurugika. Au niendelee nae hivyo hivyo kwa kificho na umakini?
Naombeni ushauri wenu, maana mm nilitaka kuachana na hili jambo moja kwa moja lakini situation imekua very tense.
Kiukweli nilikua na mshikaji kwa kampani tu ila nampenda Mr wangu, hivyo naomba isieleweke kuwa mm ni mhuni, na ni shetani tu ndio alinidanganya nikajikuta nimeanzisha uhusiano huo
Help please.