G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,651
- 8,686
Yani kwa kua ni uhulu wa mawazo na maamuzi!!!! Jamaa we acha kuomba sepa.sisi tunaombaMamba wa Mungu unamfananisha na Magufuli?
Kwa hiyo unasubiri siku ya tatu afufuke? Endelea kuomba.
Yani kwa kua ni uhulu wa mawazo na maamuzi!!!! Jamaa we acha kuomba sepa.sisi tunaombaMamba wa Mungu unamfananisha na Magufuli?
Kwa hiyo unasubiri siku ya tatu afufuke? Endelea kuomba.
Ha ha ha, kwenda zako huko na maombi yako ya kishetani. Hakuna anayeyahitaji.Kamuulize aliyetuomba kumwombea.
Wewe ndiye unayempenda Mungu?Utawezaje kumpenda Mungu na kushuhudia uongo?mbona una chuki na Mbowe?Mungu gani unayempenda wewe?Kama ni Mungu wa Wakristo hayuko hivyo wala usijidanganye!Hata usipomuombea wewe,wengi tunaompenda mungu anapokea maombi yetu
Nyie muombeeni mbowe azidi kutafuna ruzuku
Yaani unaamini kabisa kuna Mungu wa Wakristo, Mungu wa Wapagani na Mungu wa Waislamu n.k.....Kama ni Mungu wa Wakristo...
...prayer is not in the success equation, prayer is a liberation equation. Decision making is the success equation...Alipochaguliwa tu alitusihi Watanzania wote bila kujali itikadi zetu, makabila yetu na dini zetu tumwombee, kwa kile alichosema alichokikuta kule kilihitaji maombi.
Kweli kama Mtanzania nilianza maombi ya nguvu, nilitenga siku moja ya mwezi kufunga kwa ajili yake nikijua kazi aliyonayo ni ngumu na ya hatari.
Pamoja na kufanya hivyo, leo takriban mwaka unakwisha bila kuona faida ya maombi yangu. Maisha ndiyo yamezidi kuwa magumu afadhali ya mwaka jana.
Katika maombi yangu nilitegemea atakuwa rais wa wanyonge kama alivyoahidi.
Nilitegemea atakuwa rais wa vyama vyote, dini zote na makabila yote kama alivyoahidi. Nilitegemea rais atakuja kuwapata mikopo wanafunzi wote kama alivyoahidi.
Nilitegemea maombi yangu yatambadili na kutawala kwa haki kwa kufuata utawala wa sheria, rule of law. Nimesubiri ahadi yake ya ajira kwa vijana kama alivyoahidi, matokeo yake kaajiri vijana kwa kuangalia ukada na mbaya zaidi kaajiri vijana wenye ukakasi mbele ya jamii.
Matokeo ya maombi yangu ni kusitishwa kwa ajira, kunyanyaswa kwa watumishi wa umma kwa kisingizio cha kuhakiki wafanyakazi hewa.
Maombi yangu yamesababisha wafanyabiashara kunyanyaswa kwa kuongezewa kodi zisizo na ulazima.
Nilitegemea madawa yataongezeka mahospitalini, matokeo yake hata dawa ya chanjo kwa watoto imekosekana. Naona kama maombi yangu yanazidisha ugumu wa maisha kwa wananchi. Kwanini basi niendelee kuomba?
Kama mwaka jana niliishi vizuri, watoto walisoma bila kumwombea rais aliyekuwepo, ajira zilikuwepo wafanyakazi walipanda madaraja bila kumwombea rais aliyekuwepo, wanafunzi walipata mikopo tena wote bila kumwombea rais aliyekuwepo, kuna sababu gani basi kuendelea kumwombea aliyepo?
Nimestisha maombi.
Ni uamuzi wangu sijashinikizwa na mtu.
Quinine.
Ha ha huyu quinini huyu amoxlinKwasasa tufanye kitubio tu, hakuna namna nyingine.
Nitaendelea kuiombea nchi yangu kwa Mungu aiepushe na majanga na watu wabaya wanaoinyemelea.Ulikuwa unampigia kelele Mungu. Kuna watu wanataka kuondokana na natural disasters kila siku ndio wanahitaji kuombewa.
Wewe unaombea......
Ni wazo zuri sana. Tuombee Nchi na sio Mtu, nasi sote tumeshathibitisha kuwa kumuombea mtu kunafanya huyo mtu kufanikiwa. Ni vema kuombea Nchi ifanikiwe na hapo makundi yote hata masikini na matajiri tuturidhika na kupendana na hofu iratowekaNitaendelea kuiombea nchi yangu kwa Mungu aiepushe na majanga na watu wabaya wanaoinyemelea.
Pengine wewe ni mdhambi mno, maana maombi ya mwenye dhambi ni kelele mbele za Mungu; isipokuwa tu kama anaomba msamaha. Badili maombi mpendwaAlipochaguliwa tu alitusihi Watanzania wote bila kujali itikadi zetu, makabila yetu na dini zetu tumwombee, kwa kile alichosema alichokikuta kule kilihitaji maombi.
Kweli kama Mtanzania nilianza maombi ya nguvu, nilitenga siku moja ya mwezi kufunga kwa ajili yake nikijua kazi aliyonayo ni ngumu na ya hatari.
Pamoja na kufanya hivyo, leo takriban mwaka unakwisha bila kuona faida ya maombi yangu. Maisha ndiyo yamezidi kuwa magumu afadhali ya mwaka jana.
Katika maombi yangu nilitegemea atakuwa rais wa wanyonge kama alivyoahidi.
Nilitegemea atakuwa rais wa vyama vyote, dini zote na makabila yote kama alivyoahidi. Nilitegemea rais atakuja kuwapata mikopo wanafunzi wote kama alivyoahidi.
Nilitegemea maombi yangu yatambadili na kutawala kwa haki kwa kufuata utawala wa sheria, rule of law. Nimesubiri ahadi yake ya ajira kwa vijana kama alivyoahidi, matokeo yake kaajiri vijana kwa kuangalia ukada na mbaya zaidi kaajiri vijana wenye ukakasi mbele ya jamii.
Matokeo ya maombi yangu ni kusitishwa kwa ajira, kunyanyaswa kwa watumishi wa umma kwa kisingizio cha kuhakiki wafanyakazi hewa.
Maombi yangu yamesababisha wafanyabiashara kunyanyaswa kwa kuongezewa kodi zisizo na ulazima.
Nilitegemea madawa yataongezeka mahospitalini, matokeo yake hata dawa ya chanjo kwa watoto imekosekana. Naona kama maombi yangu yanazidisha ugumu wa maisha kwa wananchi. Kwanini basi niendelee kuomba?
Kama mwaka jana niliishi vizuri, watoto walisoma bila kumwombea rais aliyekuwepo, ajira zilikuwepo wafanyakazi walipanda madaraja bila kumwombea rais aliyekuwepo, wanafunzi walipata mikopo tena wote bila kumwombea rais aliyekuwepo, kuna sababu gani basi kuendelea kumwombea aliyepo?
Nimestisha maombi.
Ni uamuzi wangu sijashinikizwa na mtu.
Quinine.
Ni kweli mimi ni mdhambi kwa vile wewe ni mtakatifu tuambie maombi ya mtu asiye na dhambi yakoje.Pengine wewe ni mdhambi mno, maana maombi ya mwenye dhambi ni kelele mbele za Mungu; isipokuwa tu kama anaomba msamaha. Badili maombi mpendwa
Kwanyie yaliyofika ndo muisome nambaMaombi yako basi hayajafika labda.

Me nakazi ya kujiombea binafsi kwanza na familia yangu...Mie ndio kwanza naanza maombi rasmi. Nchi inahitaji maombi yetu wote.

Usibishane na huyo, ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.Kama sina faida mbona aliniomba nimwombea, si angesema basi wanaCCM tu ndio wamwombee.