Mkuu! Hapo endelea kutubu tu KWA AJILI YAO; kisasi siyo chako,ipishe ghadhabu ya MUNGU,Kama mambo ndiyo haya ya kutwangana risasi mchana kweupe na hakuna anayekemea bado ninaendelea kutomwombea ili nisishiriki dhambi.
Kama wewe huwa unaomba kwa mungu Magufuli ni wewe, mimi maombi yangu huwa nayawasilisha kwa Mungu wa mbinguni najua huwa ananisikia.


Hakuna wakati ambao wananchi walilipa gharama kubwa kwenye hospitali za umma kama sasa .Hapo Kwenye dawa za chanjo kwa watoto ni Kweli la vida Wakuta wampeleka mtoto clinic ukifika waambiwa dawa flani ya chanjo hamna
Aliniomba na juzi akiwa Geita aliendelea kuniomba nimwombee.JPM HAJAKUTUMA UMUOMBEE !
Basi mwambieni Magufuli awe anasema anataka wanaCCM tu ndio wamwombee na hataki maombi ya watu wa vyama vingine.We ni bavicha hivyo unapaswa umuombee yule fisadi mliyekuwa mnamdekia barabara!
Ukimuombea sizonje itakuwa ni usaliti/kiherehere chako kinakusumbua!