Nimesikitishwa na kauli ya Clouds FM

Nimesikitishwa na kauli ya Clouds FM

Mapigo1

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
256
Reaction score
90
NIMESIKITISHWA SANA NA KAULI YA CLOUDS FM.

Nimeingiwa na shaka na watangazaji wa clouds fm leo katika kipindi cha power breakfast baada ya kutangaza kwamba hawatatangaza habari za UKAWA eti wanawapa umaarufu leo nimejua hawa jamaa ni CCM pure!

Poor clouds fm.
 
NIMESIKITISHWA SANA NA KAULI
YA CLOUDS FM. Nimeingiwa na
shaka na watangazaji wa clouds
fm leo katika kipindi cha power
breakfast baada ya kutangaza
kwamba hawatatangaza habari za
UKAWA eti wanawapa umaarufu
jana nimejua hawa jamaa ni ccm
pure! poor clouds fm.
 
Nina siku sijasikiliza clouds, hivi bado wanawasikizaji?
 
Wasitangaze tu kwani hawatugharimu chochote, WANAUKAWA tunafahamu kuwa ukombozi unagharama zake na tu tayari kuzibeba.
 
NIMESIKITISHWA SANA NA KAULI
YA CLOUDS FM. Nimeingiwa na
shaka na watangazaji wa clouds
fm leo katika kipindi cha power
breakfast baada ya kutangaza
kwamba hawatatangaza habari za
UKAWA eti wanawapa umaarufu
leo nimejua hawa jamaa ni ccm
pure! poor clouds fm.

Mkuu yaani ndo umejua leo ?
 
Achana nao hao dhulumati wa wasanii, UKAWA haipo kwa ajili yako.
 
Siyo kila asiye waunga mkono ukawa na upuzi wao ni ccm ..Cloud fm bado nikituo bora cha matangazo ...Ukawa acheni kutapatapa
 
Maskini PJ na elimu yake anaelekezwa cha kufanya na makanjanja na policy za wenye maslahi na maccm wakina Ruge. Nafikiri haamini anachokifanya bali ni kwa ajili ya mkono uende kinywani. Kibonde anafikiri anaweza akapewa ukuu wa wilaya, sijui kwa elimu gani!! Acheni kuisikiliza hiyo radio, wanatangaza habari za kumpendezesha JK na Rizi.
 
Hata wafanye nini, tayari UKAWA wana wafuasi zaidi ya milioni 10 Tanzania nzima
 
Pengine nisaidiwe kwa hoja, kwa nn wamekataa kutangaza? Maana c wote wanasikilza, mwenye habr kamili alete ili kabla ya kucoment ijulikane sababu!
 
Back
Top Bottom