Nimesikitika sana kuona yanayotokea pale Udart

koryo1952

JF-Expert Member
Mar 7, 2023
382
764
Nimesikitika tena nimesikitika sana nilipoona clip ikionyesha jinsi mabus ya UDART yalivyoachwa hovyo yakizama kwenye matope kwenye karakana ya UDART kisa uharibifu wa gearbox. Mhe. Waziri Mkuu anagomba kwa uchungu lakini wapi.

UDART unaongozwa na PhD holder aliyetoka TRA na anayejua jinsi ya kukusanya mapato. UDART imefikia hata mfumo wa kukusanya mapato kupelekea kuvurugwa.

Tayari mabus 40 yako juu ya mawe, hawajaagiza mabus mapya sasa yapata miaka mitano. Yamebaki mabus 100 tena mengi yanasuasua. Hata Mtendaji Mkuu aliyepelekwa na Serikali hataweza chochote labda Serikali imtafute mwekezaji wa kuiendesha UDART. Hivi Watanzania tumelogwa na nini?. Kila tunachokabidhiwa hakifaulu. Tujiulize tuna matatizo gani sisi Watanzania?.
 
Upigaji upigaji upigaji tumeuweka mbele maslahi ya Taifa nyuma shida ipo hapo kuna haja ya Serikali kubadilisha mtaala kuwepo na somo l uzalendo kuanzia shule za awali mpaka chuo kikuu ili watu wapikwe vizuri
 
Haohao ma PGD holder na "wasomi" waliosomea ujinga ndiyo waliyouwa mashirika ya umma yote.

Biashara na kazi za vyuma zipo kwenye damu ya watu kwa vizazi. Makosa yaleyale aliyoyafanya nyerere kila anayekuja kuiongoza Tanzania anayarudia yaleyale. Huqwwezi kutatuwa tatizo kwa yaleyale yzliyoshindikana miaka yote.

Tatizo la Tanzaniaa ni moja tu:

 
Vitu vinavyo milikiwa au kundeshwa na serikali ni mzigo. Wahusika hawajali. Binafsi ningependekeza serikali imiliki na ku meneji barabara za mwendokasi...service zinazotumia hizi barabara ..naamanisha mabasi NK...apewe MTU kama Bakhresa.. awe analipa kwa kutumia hio miundombinu ya serikali...
 
Nimesikitika tena nimesikitika sana nilipoona clip ikionyesha jinsi mabus ya UDART yalivyoachwa hovyo yakizama kwenye matope kwenye karakana ya UDART kisa uharibifu wa gearbox. Mhe. Waziri Mkuu anagomba kwa uchungu lakini wapi. UDART unaongozwa na PhD holder aliyetoka TRA na anayejua jinsi ya kukusanya mapato. UDART imefikia hata mfumo wa kukusanya mapato kupelekea kuvurugwa. Tayari mabus 40 yako juu ya mawe, hawajaagiza mabus mapya sasa yapata miaka mitano. Yamebaki mabus 100 tena mengi yanasuasua. Hata Mtendaji Mkuu aliyepelekwa na Serikali hataweza chochote labda Serikali imtafute mwekezaji wa kuiendesha UDART. Hivi Watanzania tumelogwa na nini?. Kila tunachokabidhiwa hakifaulu. Tujiulize tuna matatizo gani sisi Watanzania?.
Haohao ma PhD holder na "wasomi" waliosomea ujinga ndiyo waliyouwa mashirika ya umma yote.

Biashara na kazi za vyuma zipo kwenye damu ya watu kwa vizazi. Makosa yaleyale aliyoyafanya nyerere kila anayekuja kuiongoza Tanzania anayarudia yaleyale. Huqwwezi kutatuwa tatizo kwa yaleyale yzliyoshindikana miaka yote.

Muingereza aliturthsha DMT, tuliokuwepo siku hizo hatujawahi kupata shida na DMT, ilipoanza kuongozwa kama shirika ;lla umma tu, mambo yakaanza.

Tatizo la Tanzaniaa ni moja tu:

 
Nimesikitika tena nimesikitika sana nilipoona clip ikionyesha jinsi mabus ya UDART yalivyoachwa hovyo yakizama kwenye matope kwenye karakana ya UDART kisa uharibifu wa gearbox. Mhe. Waziri Mkuu anagomba kwa uchungu lakini wapi. UDART unaongozwa na PhD holder aliyetoka TRA na anayejua jinsi ya kukusanya mapato. UDART imefikia hata mfumo wa kukusanya mapato kupelekea kuvurugwa. Tayari mabus 40 yako juu ya mawe, hawajaagiza mabus mapya sasa yapata miaka mitano. Yamebaki mabus 100 tena mengi yanasuasua. Hata Mtendaji Mkuu aliyepelekwa na Serikali hataweza chochote labda Serikali imtafute mwekezaji wa kuiendesha UDART. Hivi Watanzania tumelogwa na nini?. Kila tunachokabidhiwa hakifaulu. Tujiulize tuna matatizo gani sisi Watanzania?.
Yaani bado hujaelewa tofauti ya DART na UDART. sasa tunakusaidiaje?
 
Hivi Watanzania tumelogwa na nini?. Kila tunachokabidhiwa hakifaulu. Tujiulize tuna matatizo gani sisi Watanzania?.
Naamini tamaa ya utajiri wa haraka ndiyo inatumaliza, kuna mtu amesema sisi watanzania wote ni wezi kuanzia kiongozi wa juu kabisa hadi mtoto anayezaliwa leo
 
Nimesikitika tena nimesikitika sana nilipoona clip ikionyesha jinsi mabus ya UDART yalivyoachwa hovyo yakizama kwenye matope kwenye karakana ya UDART kisa uharibifu wa gearbox. Mhe. Waziri Mkuu anagomba kwa uchungu lakini wapi. UDART unaongozwa na PhD holder aliyetoka TRA na anayejua jinsi ya kukusanya mapato. UDART imefikia hata mfumo wa kukusanya mapato kupelekea kuvurugwa. Tayari mabus 40 yako juu ya mawe, hawajaagiza mabus mapya sasa yapata miaka mitano. Yamebaki mabus 100 tena mengi yanasuasua. Hata Mtendaji Mkuu aliyepelekwa na Serikali hataweza chochote labda Serikali imtafute mwekezaji wa kuiendesha UDART. Hivi Watanzania tumelogwa na nini?. Kila tunachokabidhiwa hakifaulu. Tujiulize tuna matatizo gani sisi Watanzania?.
Mali za Umma,Kosa ni hadi Sasa Serikali kukomaa kufanya biashara,hizi ni sera za kijamaaa,zinasha shundwa.Serikali kufanya biashaea ni makosa sana
 
Haohao ma PGD holder na "wasomi" waliosomea ujinga ndiyo waliyouwa mashirika ya umma yote.

Biashara na kazi za vyuma zipo kwenye damu ya watu kwa vizazi. Makosa yaleyale aliyoyafanya nyerere kila anayekuja kuiongoza Tanzania anayarudia yaleyale. Huqwwezi kutatuwa tatizo kwa yaleyale yzliyoshindikana miaka yote.

Tatizo la Tanzaniaa ni moja tu:

Mali za umma hakuna mwenye uchungu nazo hata mmoja,Serikali iachanane na Biashara
 
Haohao ma PhD holder na "wasomi" waliosomea ujinga ndiyo waliyouwa mashirika ya umma yote.

Biashara na kazi za vyuma zipo kwenye damu ya watu kwa vizazi. Makosa yaleyale aliyoyafanya nyerere kila anayekuja kuiongoza Tanzania anayarudia yaleyale. Huqwwezi kutatuwa tatizo kwa yaleyale yzliyoshindikana miaka yote.

Muingereza aliturthsha DMT, tuliokuwepo siku hizo hatujawahi kupata shida na DMT, ilipoanza kuongozwa kama shirika ;lla umma tu, mambo yakaanza.

Tatizo la Tanzaniaa ni moja tu:

Toa solutions nini kifanyike, mambo ya sijui Nyerere au Karume hawapo hao, muda wao umepita, wewe ndiye upo hapa leo nini kifanyike mnachotaka kiwe kifanyike..?
 
Naamini tamaa ya utajiri wa haraka ndiyo inatumaliza, kuna mtu amesema sisi watanzania wote ni wezi kuanzia kiongozi wa juu kabisa hadi mtoto anayezaliwa leo
Kwasababu kesho Yako haitabiriki so kila kitu bila pesa haiwezekani si ndugu,marafiki,ndoa,nk thus watu wanaenda race sana
 
Nimesikitika tena nimesikitika sana nilipoona clip ikionyesha jinsi mabus ya UDART yalivyoachwa hovyo yakizama kwenye matope kwenye karakana ya UDART kisa uharibifu wa gearbox. Mhe. Waziri Mkuu anagomba kwa uchungu lakini wapi. UDART unaongozwa na PhD holder aliyetoka TRA na anayejua jinsi ya kukusanya mapato. UDART imefikia hata mfumo wa kukusanya mapato kupelekea kuvurugwa. Tayari mabus 40 yako juu ya mawe, hawajaagiza mabus mapya sasa yapata miaka mitano. Yamebaki mabus 100 tena mengi yanasuasua. Hata Mtendaji Mkuu aliyepelekwa na Serikali hataweza chochote labda Serikali imtafute mwekezaji wa kuiendesha UDART. Hivi Watanzania tumelogwa na nini?. Kila tunachokabidhiwa hakifaulu. Tujiulize tuna matatizo gani sisi Watanzania?.
Unaliuliza matatizo wakati unajua kabisa ni CCM? Au kiu-sahihi zaidi niseme tatizo ni wananchi kuwa mazoba na kuruhusu viongozi wafanye watakavyo!
 
Haohao ma PhD holder na "wasomi" waliosomea ujinga ndiyo waliyouwa mashirika ya umma yote.

Biashara na kazi za vyuma zipo kwenye damu ya watu kwa vizazi. Makosa yaleyale aliyoyafanya nyerere kila anayekuja kuiongoza Tanzania anayarudia yaleyale. Huqwwezi kutatuwa tatizo kwa yaleyale yzliyoshindikana miaka yote.

Muingereza aliturthsha DMT, tuliokuwepo siku hizo hatujawahi kupata shida na DMT, ilipoanza kuongozwa kama shirika ;lla umma tu, mambo yakaanza.

Tatizo la Tanzaniaa ni moja tu:

Tangu lini mtanzania akajuwa au kuwa na uchungu wa Mali za umma
Ye anajuwa kuiba tu

Ova
 
Nimesikitika tena nimesikitika sana nilipoona clip ikionyesha jinsi mabus ya UDART yalivyoachwa hovyo yakizama kwenye matope kwenye karakana ya UDART kisa uharibifu wa gearbox. Mhe. Waziri Mkuu anagomba kwa uchungu lakini wapi. UDART unaongozwa na PhD holder aliyetoka TRA na anayejua jinsi ya kukusanya mapato. UDART imefikia hata mfumo wa kukusanya mapato kupelekea kuvurugwa. Tayari mabus 40 yako juu ya mawe, hawajaagiza mabus mapya sasa yapata miaka mitano. Yamebaki mabus 100 tena mengi yanasuasua. Hata Mtendaji Mkuu aliyepelekwa na Serikali hataweza chochote labda Serikali imtafute mwekezaji wa kuiendesha UDART. Hivi Watanzania tumelogwa na nini?. Kila tunachokabidhiwa hakifaulu. Tujiulize tuna matatizo gani sisi Watanzania?.
UONGOZI SIO PHD HOLDER
na Bado ATAPANGIWA KAZI NYINGINE

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom