Nimesikitika tena nimesikitika sana nilipoona clip ikionyesha jinsi mabus ya UDART yalivyoachwa hovyo yakizama kwenye matope kwenye karakana ya UDART kisa uharibifu wa gearbox. Mhe. Waziri Mkuu anagomba kwa uchungu lakini wapi.
UDART unaongozwa na PhD holder aliyetoka TRA na anayejua jinsi ya kukusanya mapato. UDART imefikia hata mfumo wa kukusanya mapato kupelekea kuvurugwa.
Tayari mabus 40 yako juu ya mawe, hawajaagiza mabus mapya sasa yapata miaka mitano. Yamebaki mabus 100 tena mengi yanasuasua. Hata Mtendaji Mkuu aliyepelekwa na Serikali hataweza chochote labda Serikali imtafute mwekezaji wa kuiendesha UDART. Hivi Watanzania tumelogwa na nini?. Kila tunachokabidhiwa hakifaulu. Tujiulize tuna matatizo gani sisi Watanzania?.
UDART unaongozwa na PhD holder aliyetoka TRA na anayejua jinsi ya kukusanya mapato. UDART imefikia hata mfumo wa kukusanya mapato kupelekea kuvurugwa.
Tayari mabus 40 yako juu ya mawe, hawajaagiza mabus mapya sasa yapata miaka mitano. Yamebaki mabus 100 tena mengi yanasuasua. Hata Mtendaji Mkuu aliyepelekwa na Serikali hataweza chochote labda Serikali imtafute mwekezaji wa kuiendesha UDART. Hivi Watanzania tumelogwa na nini?. Kila tunachokabidhiwa hakifaulu. Tujiulize tuna matatizo gani sisi Watanzania?.