Nimeshuhudia shem akisaliti

loyda

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2014
Posts
436
Reaction score
128
Habari zenu wana MMU,

Mimi nimekuwa nikisoma tu vile mnashauri watu na mimi ni mgeni humu naamini mtanipa ushirikiano. Jana nilienda club ile tupo na dance nikamuona shemeji yangu yupo na gal mwingine karibu kabisa na nilipokuwa mimi.

Baada ya kuniona aliogopa kabisa mimi nikamsalimia nikafanya kama hakijatokea kitu. Niliumia kuona yupo anakiss na demu mwingine wakati ana wife Yake!

Nafikiri nimwambie my sister lakini naogopa ntaaribu ndoa yao nafikiri pia nimwambie shem vile sikupenda aache michepuko.

Naomba mnijuze wadau nimweleze my sista?
 
Daaaaahhhh......mambo mengine magumu sana aiseee.
 
We chapa lapa hayakuhusu
 
miss strong9994811 said:
Daaaaahhhh......mambo mengine magumu sana aiseee.

Napata hard time sana of course inaniuma pia
 
Daaah hizi ndoa ukifikiria waweza amua usiolewe
 
Dogo hayo mambo hayakuhusu kabisa nenda zako muombe mungu awasaidie wala usiseme lolote juu ya hilo unaweza kuleta mtafaruko ambao utaujutia kabisa.
 
Kama ulimuona na una uhakika na unajimudu kabisa kiakili na kiroho!!!!!

Mtafute wawili tu mwambie ya moyoni mwako then mikausho kama kawa maisha yaendelee!!!
 
Hakuna siri ya milele,mkewe atagundua tu.
Fanya yako,yao waachie.
 
Mkuu potezea tu usimwambie dada wala nini ye mwenyewe atakuja kujua tabia za mumewe au usikute anajua tabia zake na kakubaliana nazo. Pande 4 za kuta zinaficha mengi sana!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Wewe mwenyewe ulienda club kama mchepuko halafu unataka umwambie dadaako kitu gani? Dadaako mwenyewe anajua club mtu hawezi kucheza peke yake. Halafu unaomba ushauri hapa wakati wengi wao ni michepuko unategemea nini? Ningekuwa ndo huyo shem wako ningekugegeda ili uache kiherehere.
 
kwa mwanaume ni ruksa kutoka nje....ingekuwa ni mke ndie anachepuka ningekuwa na ushauri
 

Endelea na maisha yako hayo hayakuhusu kabisa. Sana sana mkiwa na shemejio kama ataliongelea mwambie si vizuri lakini kwa dada yako funga "mulomo" usije ukaangushiwa jumba bovu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…