Mkoba wa Mama
JF-Expert Member
- May 5, 2021
- 280
- 173
Nimeandika namba hizi; 27,000 na 20,007 nikamtaka aniambie kwa maneno katika lugha ya kiswahili. 😂 Aseee alikuwa anatoa jibu anajikosoa mwenyewe, ningiweka kwenye karatasi sijui ningejaza karatasi ngapi tu, mwishowe akaingia mitini bila kutoa jibu sahihi.
Jaribu hiyo uone kitakachotokea
Jaribu hiyo uone kitakachotokea