Nimeshikwa na Taharuki

Nimeshikwa na Taharuki

Haya majibu yako natamani hata kukuuma! Ombi lako ni batili ndugu mteja tazama vyema ombi lako kabla mhusika hajakutoa mapengo nakadharika!!.

Nakuambia babu yangu shababi nimekutajia tu wamng'ang'ania! Ukiongea nae utakuwa huna nafasi ya kusema no!! Huu mjadala naufunga utaniuzi nimeze simu bure..


Kenzy acha fujoooo

Babu na bibi wakiwa wanavuta ugoro wewe unaenda kuchuma mahindi shamba uyachemshe sie tumumunye.....aahahahahahaa kama nakuona ulivyonuna.
 
Aysee... bt inakuwa haina amsha amsha. Utamu ni pale ushirikiano unapokuwa full! Kila kiungo kifanye kazi yake. Tujiachie tu, sisi blacks hatuna shida ni mafua km mafua mengine.


Hehehehee ukiweka utamu kwanza ni kujiandaa na maumivu baadae, ubwabwa maharage mtamu aiseeh bado napenda kuufinya, kwa sasa Mahaba yamebaki Kwa Dadii tuu tena na yeye anapimiwa kwenye kisado hadi Covid19 ipite.
 
Chadema/ upinzani huwa ni mawazo yaliyo ndani ya mioyo ya wananchi juu ya kutoridhika hasa na mfumo wa utawala ktk nchi kwa mfano wanachi hawaitaki hii katiba ya sasa kwani inamapungufu mengi haiendani na hali ya sasa ya ulimwengu hivyo hata kama mbowe atajiunga ccm bado hakuta jibu la kitendawili cha mahitaji ya wananchi hakuna mamluki wa kuibomoa chadema au upinzani kwa sasa mda umewaacha


Okaay....
 
Wote waliohama ccm na kwenda chadema mamvi na mr zero waliamua kwautashi wao tena kwa dhati nakuhakikishia kama tanzania ingeendelea kuwa na siasa za kistaarabu kidogo kama zamani hawa wazee wasingerudi ccm kamwe ila kilichowarudisha ccm ni siasa chafu za kukomoana kutekana kufungana yaani matumizi mabaya ya dola kwa upinzani hicho tu hakuna cjui cha kutumwa kukiboa chadema ni mawazo yangu tu


Hili alilisisitiza sana baba Sumaye, hakutumwa na mtu.

Aiseeh moyo wa mtu kichaka....
 
Nilishangaa kidogo na sikuweka uzi sababu niliona ni mpenda mageuzi kwelikweli na kwenda kwake Chadema nilikuchukulia kuwapa support, ujuzi au siri ndogondogo zinazotumiwa an CCM ili washinde ukizingatia yeye alikuwa CCM miaka kadhaa na sikuhofia kama alifata maslahi maana kufikia kuwa na wadhifa wa Waziri Mkuu wa nchi una nafasi ya kupata vingi tuu.

Ila tangu waliohama CCM na kuhamia Chadema badala ya kufanya Chadema kisonge mbele badala yake kimerudi nyuma na kuvurugwa na kuchanyatika ukijumlisha na Zito bin kuhamia ACT bin Slaa kukimbia nchi na mapicha picha ya kila rangi....

Nashangaa sababu wakati huu ndo Chadema kinahitaji msaada ili walau nacho kisimame kifua mbele kupambana na uchaguzi, badala yake wanahama na kurejea walikotoka...
Haya sasa ni mawazo ya kiutu uzima, achana na vichelema kama Salary Slip wanaochekelea ati acha akina Komu waondoke! Siyo ishara njema na akina @vuta wanatoa uzi wa kijinga kukejeri Mbatia . To a serious person ataona kuna shida fulani huko Chadema
 
Nimeelewa kwa nini vijana wanapotezana juu yako.

Ni mtam...tam aisieee 'kasie'.

Nawaza tu simulizi hizi zipoje pale kitandani, si ndio komesha! Aaah, basi hayo tuyaache. Hapa ni siasa tuu, kama Kazi Tuu!


Aahahahahahaaaa jaamaa jaamaaa, acha kunipaisha ndugu utanisababishia msala bureee....

Debe tupu tuu hili, keleleee nyingi yaliyomo hayamo eehehehheee.
 
Haya sasa ni mawazo ya kiutu uzima, achana na vichelema kama Salary Slip wanaochekelea ati acha akina Komu waondoke! Siyo ishara njema na akina @vuta wanatoa uzi wa kijinga kukejeri Mbatia . To a serious person ataona kuna shida fulani huko Chadema


Tuko pamoja...
 
Kenzy acha fujoooo

Babu na bibi wakiwa wanavuta ugoro wewe unaenda kuchuma mahindi shamba uyachemshe sie tumumunye.....aahahahahahaa kama nakuona ulivyonuna.
Kama uliiona ile salamu ya miguu ya magufuli Mimi pia nimeiadapt ila nimeiboresha zaidi yani inaitwa ngwaraa😂😂 Sasa we nikorofishe siongei Sana sekunde moja upo hewani inayofuata upo chini na ugoro nakunyang'anya nakubembeleza ukilia ukizidi nakupa dozi nzuri ya nguvu ili uache kupenda mazee menzako.
 
Ivi unadhani yale mashamba yangu yatarudije ili wanangu niwarithishe?
Ni lazima nirudi kwenye shina,Binti yangu.

Nawaza tu kwa sauti jinsi..ambavyo ana toa majibu kimya kimya kwa madame kasie.
 
Tuko pamoja...
Kwani tunafanya nini pamoja (mhenga kwa mhenga!) joke. Angalia mijadala ya humu ndani, mingi ni utoto mara fulani kanunuliwa, kila siku nawaeleza kuwa watu serious hata kama wanajua mwanachama wao amenunuliwa wataona aibu! Why ours not them?

Kazi ya mwanaume ni kutongoza mwanamke na kazi ya chama cha siasa ni kutafuta wafuasi hata kama ni kupoka kutoka vyama vingine. Sidhani ni kazi ya CCM kuimarisha chadema bali ni kuhakikisha ipo weak au hata kufutika maana lengo kuu la chama cha siasa ni kuingia Ikulu.

Lakini kwetu tulio neutral tunatamani kuwepo kwa upinzani imara ili chama kinachotawala (iwe ccm au act au chadema au CUF au....) kisibweteke. Ni muda mwafaka kwa Chadema kujitathimini kiundani wapi kimepotoka baadala ya kuleta majibu rahisi kuwa wanachama wao wananunuliwa (what a shame kuwa na mchepuko unaochepuka)
 
Hakika siasa za bongo ni fikirishi mbona mataifa ya wenzetu hakuna haya mambo ya hama hama ya wanasiasa kiasi hicho
 
Back
Top Bottom