GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Pengine ni kwa sababu si mfuatiliaji mzuri wa kampeni za CCM,
akiwa Ilala Kinana anaahidi kuwa iwapo watapewa Ridhaa ya
kuiongoza Tanzania atahakikisha wanapambana na MGAMBO wa
jiji ambao wamekuwa wakisumbua Mama Lishe na Wamachinga
alienda mbali zaidi kwa kusema kuwa Mgambo hao wamekuwa
wakifanya vibaya kwa kuwanyang'anya Wamachinga mali zao,
Hivyo kama wataingia madarakani basi Mgambo watakomeshwa!
Haya kwangu ni maajabu ya Karne........
Kumbe siku zote walikuwa wanajua kuwa kinachofanywa na mgambo si
sahihi, ajabu zaidi watu wenye Ubongo mithili ya ule wa Panzi wanapigia
makofi na kushangilia......!!?
akiwa Ilala Kinana anaahidi kuwa iwapo watapewa Ridhaa ya
kuiongoza Tanzania atahakikisha wanapambana na MGAMBO wa
jiji ambao wamekuwa wakisumbua Mama Lishe na Wamachinga
alienda mbali zaidi kwa kusema kuwa Mgambo hao wamekuwa
wakifanya vibaya kwa kuwanyang'anya Wamachinga mali zao,
Hivyo kama wataingia madarakani basi Mgambo watakomeshwa!
Haya kwangu ni maajabu ya Karne........
Kumbe siku zote walikuwa wanajua kuwa kinachofanywa na mgambo si
sahihi, ajabu zaidi watu wenye Ubongo mithili ya ule wa Panzi wanapigia
makofi na kushangilia......!!?