Nimeshangazwa na vyeo hivi vya polisi

itakiamo

JF-Expert Member
Nov 1, 2014
626
1,063
Habari zenu wakuu, najua huku Kuna watu Wana uelewa zaidi katika hili.

Nimeshangazwa na Polisi mwenye cheo kama DCP uwa RPC, hali ya Kuwa kuna polisi ni ACP au SACP ni RPCs tena wengine ni ZPC kabisa, inakuwaje hii wataalamu
 
DCP nani huyo ni RPC?ninavyofahamu ni kwamba ma-SACP wengi sasa hivi ni ma-RPC

DCP anamaanisha Deputy Commissioner of Police

ACP means Assistant Commissioner of Police

SACP means Senior Assistant Commissioner of Police

RPC means Regional Police Commander
Mmoja wapo ni DCP Mutafungwa
 
Unashangaa nini mbona kawaida sana.....hii ndio tanzania tupo kivyetuvyetu........

Kuna mkurugenzi wa TANAPA alihamishwa kuwa mkuu wa wilaya

Huyu CAG wa sasa alikuwa kamishina wa TRA akaenda kuwa katibu tawala huko

Generali wa magereza ametoka JWTZ .....anaitwa kamishna Jenerelali cheo juu ya cheo

Chongolo katoka kuwa katibu wa CCM taifa sahivi yuko sawa na makonda wote wakuu wa mikoa......

Mkuu wa majeshi wa sasahivi karuka kutoka meja jenerali mpaka CDF.
 
Mzilankende Na Aliyemfuatia Waliharibu Sana Baadhi Ya Mambo Na Utaratibu Unavyotaka
Kwa Police Mengine Ndiyo Kama Unavyoona Bora Liende Lifike Huko Huko
 
Wekeni na maelezo kuwa huyo sijua Asp au Dcp n.k, cheo kidogo ni kipi na kikubwa kipi
 
Back
Top Bottom