pombe kali
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 312
- 616
Maisha yalivyokuwa magumu bado serikali inavunja nyumba za watu kwa mtindo wa kuvizia mbaya zaidi siku ya kesi ilikuwa bado kaya mia tano kwa ghafla zitaenda wapi mbaya zaidi ni siku ambapo mkuu wetu wa mkoa anaendelea na ziara ya kero jijini nimesikitishwa kiukweli taratibu za umiliki ardhi bado zimekaa kimtego mtego mnasubiri watu wajenge muwabomolee kwa mara ya kwanza nimeichukia nchi yangu