Nimeshangaa hii Mahari, sikuitegemea

Jenseny

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2011
Posts
1,743
Reaction score
1,742
Leo nlimtuma mshenga na ancle wangu kuchukua majibu ya posa na thamani ya Mahali cha ajabu wamepewa karatasi yenye mchanganuo wa vitu na thamani yake jumla wamepata laki 658000 hata siamini hapo hapo wakatoa laki 2 nadaiwa laki 458000 (walienda na millioni 1 ila waliona ni dharau kulipa yote)
 
Hehee! Wewe ni kichwa maji kweli! Asipooa atajojolea wapi?
Sasa kama mahar lak6 anaona ngumu, unategemea nn, angekutana na bint anayetaka ka vitz je...anyway siku hz papuch zipo za bei chee atatumia hizo!!
 
Mara ya mwisho mahali kupolewa kwetu ilikuwa 5.8M sijui kwasasa itakuwaje ,nawaza tu.
 
Siku hizi mahali ni sukari tu unaoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…