Nimeshakata motor vehicle licence kabla ya siku ya bajeti. Je, nitarudishiwa pesa zangu na TRA?

Wale mawakala wanaotumiwaga na TRA watafute chaka. Jamaa makatili utafikiri wanatoka sayari nyingine. Wanakamata gari yako ukipeleka hela baada ya siku kadhaa utakutana na bill yako ya yard inayofanana na deni
 
Naomba elimu zaidi KWA WALE AMBAO WALIKUWA NA MADENI YA NYUMA YALIYOAMBATANA NA PENALT YATAKUWA NAYO YAMELIWA NA 1ST JULY.
AU NI LAZIMA YALIPWE?
Msema mkweli mpenzi wa MUNGU
KAMA TIN ULIITUMIA KWENYE LESENI NDIO ULIOTUMIA KWENYE GARI YAKO..JIANDAE SIKU UNA RENEW LESENI...HAIKWEPEKI..ITAKACHOKUSAIDIA KAMA MWAKAN NDIO INA EXP INAKUPA MDA KUKUSANYA DENILAO..KUNA WATU WAMESHINDWA KURENEW KABISA LESENI SABABU WANAANGALIA DENI KWANZA

SAME TO UR BUSSINESS KAMA ULITUMIA TIN HIOHIO SIKU UNAENDA KUOMBA LESENI AMA KURENEW ITASOMA BALANCE .NA MJUAVYO AKUNA LESENI INATOKA MPAKA MMALIZANE NA FORM ZA TRA.NDIPO MIMBA INAPOZALIWA...WAMESOGEZA MDA WAKULIPA DENI TU ELSE LITALIPIKA AUTOMATIC
 
Sheria inaanza kutumika tar moja julai 2017. Deni la nyuma ya hapo lipo palepale sema tu halitaongezeka wala kuwa na riba. Kwenye TIN yako limewekwa tayari ingawa kuendesha gari utaendesha ila deni ulilokuwa nalo halitafutwa kwa kuwa lilikuwepo kwa mujibu wa sheria iliyopo
Wewe naona nakuelewa!
 
Samehe kama serikali ilivyosamehe makosa yetu. Mimi nimeuza gari iliyokuwa na deni la miaka miwili (nilkuwa silitumii) na deni tukakatana kwenye hela ya mauzo unafikiri najisikiaje hapa.
Hakika utakuwa unajisikia vibaya
 
Msema mkweli mpenzi wa MUNGU
KAMA TIN ULIITUMIA KWENYE LESENI NDIO ULIOTUMIA KWENYE GARI YAKO..JIANDAE SIKU UNA RENEW LESENI...HAIKWEPEKI..ITAKACHOKUSAIDIA KAMA MWAKAN NDIO INA EXP INAKUPA MDA KUKUSANYA DENILAO..KUNA WATU WAMESHINDWA KURENEW KABISA LESENI SABABU WANAANGALIA DENI KWANZA

SAME TO UR BUSSINESS KAMA ULITUMIA TIN HIOHIO SIKU UNAENDA KUOMBA LESENI AMA KURENEW ITASOMA BALANCE .NA MJUAVYO AKUNA LESENI INATOKA MPAKA MMALIZANE NA FORM ZA TRA.NDIPO MIMBA INAPOZALIWA...WAMESOGEZA MDA WAKULIPA DENI TU ELSE LITALIPIKA AUTOMATIC
Kama deni ni la road license hawawezi kudai tena maaana yote yatakuwa yamefutwa na adhabu zake
 
KAMA UNADAIWA MADENI YA NYUMA SERIKALI IMESHASEMA IMESAMEHE MADENI YOTE C UNAONA SIKU ILE WABUNGE MIXA MISAMBA KWNYE VITI WALIVYOFURAHI MKOKO WANGU NILIUPAKI ULISHAANZA KUOTA MCHICHA NDANI KWENYE SITI
 
Msamaha wa deni ni kwa ajili ya magari mabovu yasiotembea tuu lakini kama gari lipo linatembea na ulikua na malimbikizo uko nyuma basis lazima ulipe kwanza la nyuma alafu ndo uendelee kulipia kwa mafuta kwa sababu deni la gari lako liko kwenye tin number yako ya kilipia mapato ila ulipaji kupitia mafuta hautakua na tin
 
Hata kama kodi ya nyumba imeisha halafu unaona ni mwezi wa bajeti,usikurupuke kulipa!Mzungushe tu mwenye nyumba mpaka walau bajeti ipite,akikubana sana mpe ya mwezi mmoja!
 
Jamani,

Mimi nime-renew Motor Vehicle license yangu wiki moja kabla ya bajeti kusomwa, tena ni shs. 230,000/=.

Sasa bajeti imesomwa nasikia kwamba kuanzia July 01, 2017 hazitafanya kazi. Maana yake nimeingia hasara.

Je, nitarudishiwa hela yagu nikienda TRA.

Nasema ni hasara kwa sababu wengi ambao renewals zao ni mwezi huu bada ya kusikia bajeti wako radhi kuweka magari nyumbani hadi July 01.

Mimi nilikata kwa sababu tu expiry ilikuwa wiki moja kabla ya bajeti.

Saidia kupata jibu na haki yangu.
Bajeti haijapitishwa nadhani hadi J3 hata hivyo huo msamaha ni kwa yele magari ambayo haya tembei
 
Ukishikwa na gari isiyo motor vehicle licence halali kabla ya tarehe 1 July ni kosa kisheria. Umefanya vema kulipia gari yako..
 
mkuu hii miandishi yako ya rangi kama upo madarasa ya awali,kuwa muungwana acha kutuumiza macho na huu utoto unaoufanya,ukute wewe ni jitu zima kabisa na una hadi wajukuu!

Don't read my post.. Unalazimishwa? Bastard..!!
 
Jamani,

Mimi nime-renew Motor Vehicle license yangu wiki moja kabla ya bajeti kusomwa, tena ni shs. 230,000/=.

Sasa bajeti imesomwa nasikia kwamba kuanzia July 01, 2017 hazitafanya kazi. Maana yake nimeingia hasara.

Je, nitarudishiwa hela yagu nikienda TRA.

Nasema ni hasara kwa sababu wengi ambao renewals zao ni mwezi huu bada ya kusikia bajeti wako radhi kuweka magari nyumbani hadi July 01.

Mimi nilikata kwa sababu tu expiry ilikuwa wiki moja kabla ya bajeti.

Saidia kupata jibu na haki yangu.


Jirani yangu jana ameenda kulipa hiyo tozo kwa lengo la kusafiri na gari lake Jumatatu, amerudi nyumbani atazame bunge la bajeti anakutana na taarifa RL imefutwa
 
KAMA UNADAIWA MADENI YA NYUMA SERIKALI IMESHASEMA IMESAMEHE MADENI YOTE C UNAONA SIKU ILE WABUNGE MIXA MISAMBA KWNYE VITI WALIVYOFURAHI MKOKO WANGU NILIUPAKI ULISHAANZA KUOTA MCHICHA NDANI KWENYE SITI
hahaaa bora were m nilipopata yapili nikaweka uwani naona nianze na service year 28/29 nibadili pump maana n petrol..30 June niwekw betri mpya alafu tar sabasaba ndio nalitoa mpwa na nyuma naandika MV Mpango..shukrani
 
KAMA UNADAIWA MADENI YA NYUMA SERIKALI IMESHASEMA IMESAMEHE MADENI YOTE C UNAONA SIKU ILE WABUNGE MIXA MISAMBA KWNYE VITI WALIVYOFURAHI MKOKO WANGU NILIUPAKI ULISHAANZA KUOTA MCHICHA NDANI KWENYE SITI
hahaaa bora were m nilipopata yapili nikaweka uwani naona nianze na service year 28/29 nibadili pump maana n petrol..30 June niwekw betri mpya alafu tar sabasaba ndio nalitoa mpwa na nyuma naandika MV Mpango..shukrani

Jirani yangu jana ameenda kulipa hiyo tozo kwa lengo la kusafiri na gari lake Jumatatu, amerudi nyumbani atazame bunge la bajeti anakutana na taarifa RL imefutwa
Mungu ambariki amechangia watoto wawili ada
 
Back
Top Bottom