Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,347
- 3,023
- Thread starter
- #21
Sasa ndio mapenzi gani hayo? Kweli kuna watu wanaweza kuishi hivo ila sio mimi na mume wangu anajua na anaheshim approach yangu ya maisha: maisha yake na maisha yangu ni kitu kimija na kabla ya kufanya chochote anatakiwa kupima impact ya maamuzi yake kwa maisha yetu kama mume na mke... Siwezi kuacha kumfwatilia bata maisha yake...dada kama wampenda mumeo na wataka kuendelea kumuamini basi nakuomba usimfuatilie kwani utakufa siku ukimbamba ana kazi ya nje.
we faidi utamu wa nyama ya bata...usimfuatilie bata maisha yake.