Visible
Senior Member
- Dec 8, 2009
- 139
- 1
- Thread starter
- #61
Achana nae....kama anataka wenye mali there will always be someone more loaded than you are...hakufai kabisa.... tafuta akupendaye kwa dhati...kama wataka kuwa part of the statictics za walioadhirika...endelea kumuomba msamaha....
shishi naachana nae.