Nimerudi tena baada ya kuumia vya kutosha!

Nimerudi tena baada ya kuumia vya kutosha!

Khaleed Shaban

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
399
Reaction score
58
Baada ya kuturia nikiskilizia maumivu ya kutendwa hatimae leo nimerudi tena nna imani sitoumizwa tena
Hivyo basi natafuta mchumba wa kike {girl friend}ambae atakuja kua mke wangu
Umri wangu miaka 21,nipo dar
Nimtakae awe na umri wa miaka 20-25 itakua vyema kama atakua dar
alietayali ani PM au anitafute kupitia 0657175051 au khaleedshaban@gmail.com
nipo serious jaman
 
jf sikuhizi imekuwa ya kutafutia wake!!!!
halafu huyu dogo nahisi alisoma shule moja inaitwa Malangali ipo Iringa huko.
Tumboo njo huku,au umeolewa?
 
twenty what years old....!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.??????????? Too young asee!!!!!!
 
Katafute pesa kwanza thn ukipata ndio utafute mwanamke. Shule huna iliobaki tafuta pesa ili uwe na kauli hapa duniani
 
mke wangu alikuwa anatafuta a co-husband. vipi r u willing to be a cohusband
 
Back
Top Bottom