Nimerogwa na tiGO full LIMBWATA

Yaani buji!!unanifurahsha sn.
hapo juu jamaa wanasema hawakuelewi,wape ufafanuz bac.
 
Kwanini uwaze kulogwa, acha kuukosea heshima moyo wako.
 
miaka ile kulikuwa na wimbo unamaneno haya
"mazoeaa yanatabu,
ukikosaa ni adhabu,
anita ee mpenzi wang..."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…