mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 614
- 322
Habari zenu wana JF mimi ni kijana niliepoteza muelekeo ktk maisha yangu nikiwa na huzuni na dimbi la mawazo kwa kua maisha yamekua magumu zaidi ya sana kiupande wangu km ni mtihani basi nishashindwa kuufanya.
Kama ni vita basi narudi nyuma kwa kukosa silaha ya kupigana na adui huyu huku nikiangalia kua familia kubwa ya kifukara inaniangalia mm ndio mtunzaji familia ya watu 8 nimezunguka kadiri ya uwezo kuangalia kibarua inashindika tumaini langu lililobaki ni kwa watanzania na mungu pekee.
Mm ni kijana wa miaka 28 elimu yangu ni "O" level ambaye ninafani nyingi ambazo kwa sasa hazinisaidii
1 ufundi wa computer
2 sofa set duseiner
3 driver
Fani hizo ndizo zilizokua zinaiendesha familia
Kwa mtanzania yoyote anaehisi ana moyo wa kunisaidia naomba anisaidie kazi ya aina yoyote na kutoka sehemu yoyote niko tayari kuifanya
Drivig linsece yanga ina class B,A,D na C
Nakuombeni watanzania na mungu akupeni wepesi wa kunisaidia hata kiushauri
Kama ni vita basi narudi nyuma kwa kukosa silaha ya kupigana na adui huyu huku nikiangalia kua familia kubwa ya kifukara inaniangalia mm ndio mtunzaji familia ya watu 8 nimezunguka kadiri ya uwezo kuangalia kibarua inashindika tumaini langu lililobaki ni kwa watanzania na mungu pekee.
Mm ni kijana wa miaka 28 elimu yangu ni "O" level ambaye ninafani nyingi ambazo kwa sasa hazinisaidii
1 ufundi wa computer
2 sofa set duseiner
3 driver
Fani hizo ndizo zilizokua zinaiendesha familia
Kwa mtanzania yoyote anaehisi ana moyo wa kunisaidia naomba anisaidie kazi ya aina yoyote na kutoka sehemu yoyote niko tayari kuifanya
Drivig linsece yanga ina class B,A,D na C
Nakuombeni watanzania na mungu akupeni wepesi wa kunisaidia hata kiushauri