Nimepoteza card ya ATM ya CRDB msaada wataalam

Nimepoteza card ya ATM ya CRDB msaada wataalam

Mill broh

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2023
Posts
346
Reaction score
816
Habari wakuu

Naomba kujua namna ya kupata card mpya ya CRDB, nimepoteza, na usalama upoje wadau kuhusu pesa zilizomo ..

Je, kuna malipo yoyote nalipia kuapata card mpya, inachukua siku ngapi na nalipa kias gani wadau?

Msaada nimevurugwaaa hapa
 
1. Kwani kuna mtu anajua password?

2. Una App ya CRDB? Unaweza ku-deactivate card.

3. Pia unaweza kupiga simu customer service wakaifungia kama unawasiwasi.

4. Kupata rahisi, tembelea tawi la CRDB lililojirani na ww wakupe muelekezo.
 
1. Kwani kuna mtu anajua password?

2. Una App ya CRDB? Unaweza ku-deactivate card.

3. Pia unaweza kupiga simu customer service wakaifungia kama unawasiwasi.

4. Kupata rahisi, tembelea tawi la CRDB lililojirani na ww wakupe muelekezo.
Shukrani mkuu vipi kuhusu mda wa kuipata
 
Habari wakuu

Naomba kujua namna ya kupata card mpya ya CRDB ,nimepoteza ,na usalama upoje wadau kuhusu pesa zilizomo ..

Je, kuna malipo yoyote nalipia kuapata card mpya ,inachukua siku ngapi na nalipa kias gani wadau?

Msaada nimevurugwaaa hapa
Hakuna tatizo,nenda tawi jirani kaonbe nyingine
 
piga huduma kwa wateja kuifunga, inaweza kutumika online bila hata password
 
Habari wakuu

Naomba kujua namna ya kupata card mpya ya CRDB ,nimepoteza ,na usalama upoje wadau kuhusu pesa zilizomo ..

Je, kuna malipo yoyote nalipia kuapata card mpya ,inachukua siku ngapi na nalipa kias gani wadau?

Msaada nimevurugwaaa hapa
Ukipoteza card yako, wanakulipisha kupata mpya. Niliwahi poteza around 2014 huko na nikalipa 20k kupata mpya.
Nadhani utaratibu haujabadilika.
 
Kachukue loss report hakikisha una Tsh 20,000 ya kurenew

Asante
 
Habari wakuu

Naomba kujua namna ya kupata card mpya ya CRDB, nimepoteza, na usalama upoje wadau kuhusu pesa zilizomo ..

Je, kuna malipo yoyote nalipia kuapata card mpya, inachukua siku ngapi na nalipa kias gani wadau?

Msaada nimevurugwaaa hapa
Omba kupitia simbanking,utachagua tawi la karibu utakalochukua card yako..ndani ya wiki moja tayari,makato ya kadi utayaona utakapochagua kadi unayoitaka.
 
Kabla ya kwenda Crdb bank kwanza pitia polisi ukapate loss report.
1. Block ATM card thru simbaking App,
2. Request through Simbanking App, ndani ya siku 7 utaipata!!!
 
Habari wakuu

Naomba kujua namna ya kupata card mpya ya CRDB, nimepoteza, na usalama upoje wadau kuhusu pesa zilizomo ..

Je, kuna malipo yoyote nalipia kuapata card mpya, inachukua siku ngapi na nalipa kias gani wadau?

Msaada nimevurugwaaa hapa
Saiz kuna huduma za cardless kwahiyo si muhimu lakini nimeona kwenye hii app ya crdb huduma zimeboreshwa unaweza kuomba card yako huko kwenye app then utapewa maelekezo ya kufata
 
Nenda CRDB wambie wakusajili na Sim banking baada ya hapo omba kadi. Hapo itakuchukua kama 30min
 
Back
Top Bottom