Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,288
- 5,764
Shukrani mtaalam vipi inachukua mda gani mpaka kupewa card nyingine
Kadi inachukua kama wiki moja kuipata na hiyo hela ya card hulipi cash, wanakata huko kwenye card.
Kama ina hela nyingi piga huduma kwa wateja waisitishe kwa muda huku wakikusubiria uende Bank.
Muhimu uwahi Bank kesho asubuhi kusitisha, hiyo polisi report unaweza kutengeneza hapo kwenye simu ukapita tu polisi kupitishiwa nafikiri siku hizi ni bure ila ukienda huko kwa wakala kutengenewa nafikiri ni shs elf mbili.