SECRET AGENT
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 252
- 488
- Thread starter
-
- #21
So inamaana shipping anasimamia Supplier ??, Hizi bidhaa zangu kwenye shipping ilikua wao aliexpress standard shippingInategemea na supplier uliponunua. Baadhi sio waaminifu. Ali Express ni kiunganishi tu kati yako na muuzaji. Eg. Mwaka jana August Nilinunua bidhaa mbili totauti kutoka wauzaji wawili tofauti kupitia Ali Express. Bidhaa moia ilifika Dec/2021, sababu aliyotoa supplier ni kuwa Logistic company aliyotumia kuutuma mzigo kwangu ilipoteza mzigo, hivyo nilipofuatilia sana ndio akatuma tena!!! (Ina maana nisingefuatilia ungepotea). Bidhaa ya pili mpaka leo Feb/2022 haijafika. Supplier hana jibu la kuridhisha. (Ina maana umepotea).
Usije kujaribu kulipia maana mara nyingi huko Ali au ebay au popote watakutumia mzigo wako kweli tatizo ukishaingizwa bongo wanaopokea ili kukufikishia (posta, dhl n.k) wao wakishajua ni mzigo wa thamani lazima waupige maana wanajua kabisa hauna namna ya kuwajua au ukifuatilia utachoka tu mwenyewe na kuachana nao.Nmejaribu kuangalia kwenye laptop shipping fee zao kubwa sana yaani, kwa mfano pia nmetafuta HeatPress ya 5 in 1, machine ambayo wao wanauza $120 tu ila Shipping fee naambia $250 ukijumlasha hapo $350
Nadhani kwa vitu vyenye thaman kubwa ni safe kutumia hawa agents wa kuagiza mizigo wenye ofis zao hapa tanzania unaongea nae bei wanakuletea mzigo na wao ndo wanasimamia kila kitu mpaka mzigo ukufikieUsije kujaribu kulipia maana mara nyingi huko Ali au ebay au popote watakutumia mzigo wako kweli tatizo ukishaingizwa bongo wanaopokea ili kukufikishia (posta, dhl n.k) wao wakishajua ni mzigo wa thamani lazima waupige maana wanajua kabisa hauna namna ya kuwajua au ukifuatilia utachoka tu mwenyewe na kuachana nao.
Mimi nina experience na eBay. Nilikuwa naagiza vitu vya hovyo hovyo napata siku nilikuja jichanganya nikaagiza power tool set. Hapo ndio nikaja kujua kuwa sijui.
Tupo pamoja mkuu...Duuh asante kwa kutoa mwanga mkuu
Umezunguka mnoo, ukihitaji msaada tafuta tukusaidie. Flash sio ya kuchukua miezi miwili njiani na unakuja kuandikia uzi. Na hiyo njia yako ya ulipaji wa pesa sio nzuri, hapo kuna makato hujatwambia.Habari wana Jamvi, nilikua nina mashaka sana na kuagiza mizigo Ali Express kwamba ntapokeaje mzigo wangu.
Nikafanya majaribio nilinunua bidhaa mbili Moja ni flash ambayo ipo kama kadi ya master card (GB16) na nyingine ni Case ya external hard disk.
Niliingia kwenye aliexpress nikatengeneza profile yangu na kwenye adress niliweka morogoro na nkaweka postal code ya morogoro ambyo ni 67000. Basi nkaenda kwenye kulipia bidhaa.
Malipo niliyafanya kwa kuingiza namba za Visa Card yangu ya CRDB then nkaweka security code (namba 3, zilizopo nyuma ya kadi yako) nilipomaliza basi wao wakakata kiasi cha pesa kinachohitajika moja kwa moja kutoka CRDB.
Bidhaa zangu zote nilizonunua zilikua hazizid elf 10 bei yake kwa pesa ya kitanzania na zote nilichagua za free shipping. Baada ya kuweka order ilikua mwez wa 12 mwishon nkatulia kusubiri na kila siku nlikua naingia kwenye shipped items naona progress mzigo umefika wapi.
Nmesubiria sana mpaka mwez wa kwanza ukaisha kwenye track ya mzigo wangu naona zmeshafika destination country, nikawa nasubiria.
Mpaka mwanzon mwa mwezi wa 2 kama tar 4 ivi nkapigiwa simu na Posta Mkoa Morogoro naambiwa kuna package zako 2 hapa, nkaenda pale nkapewa control number. Kila mzigo pale posta nmelipia 2350. Jumla nkalipa 4700. Nkapewa package zangu.
Bidhaa ni nzuri na hazina shida yoyote nmekua confident kuagiza mizigo kwa hawa jamaa.View attachment 2116927
Mkuu njia yako ya kujitangazia biashara yako haiko proper kuwa humble sio kujifanya mjuaji kiasi hiko, weka thread na ujuaji wakoUmezunguka mnoo, ukihitaji msaada tafuta tukusaidie. Flash sio ya kuchukua miezi miwili njiani na unakuja kuandikia uzi. Na hiyo njia yako ya ulipaji wa pesa sio nzuri, hapo kuna makato hujatwambia.
Sitangazi biashara hapa, kama ingekua hivyo ungeona nimefungua uzi hapo.Mkuu njia yako ya kujitangazia biashara yako haiko proper kuwa humble sio kujifanya mjuaji kiasi hiko, weka thread na ujuaji wako
Mkuu alibaba / ebay / aliexpress zote ni platform za kuwaunganishwa wauzaji na wanunuzi..., sasa hapo transport ni third party hapo mzigo wako itabidi upelekwe either Postal Offices (cheaper ila inachukua muda) au Door to Door Courier (ambazo ni gharama mfano DHL, TNT UPS n.k.) na bei ya usafirishaji inategemea uzito au volume (whichever is bigger) ni kama wewe ukisafirisha bahasha kwenye basi ni tofauti na anayesafirisha gunia....Nmejaribu kuangalia kwenye laptop shipping fee zao kubwa sana yaani, kwa mfano pia nmetafuta HeatPress ya 5 in 1, machine ambayo wao wanauza $120 tu ila Shipping fee naambia $250 ukijumlasha hapo $350
By the way, nmeweka uzi kushare experience yangu katika online shoping kwenye Aliexpress kwa mara kwanza na kuhusu njia ya payment mm sio mjinga kias hko hyo ni akaunt nlofungua kwa ajil ya kulipia vtu online naweka pesa kwa ishu maalum kama nahtaj kulipia sio ya kutunza pesa au ya biashara. Nishawahi agiza Kikuu wao wapo fasta kuliko Aliexpress.Sitangazi biashara hapa, kama ingekua hivyo ungeona nimefungua uzi hapo.
Asnte kwa ufafanuzi, Nmekuelewa mkuu, so wao wasafirishaji wanacharge kutokana na uzito wa mzigo,Mkuu alibaba / ebay / aliexpress zote ni platform za kuwaunganishwa wauzaji na wanunuzi..., sasa hapo transport ni third party hapo mzigo wako itabidi upelekwe either Postal Offices (cheaper ila inachukua muda) au Door to Door Courier (ambazo ni gharama mfano DHL, TNT UPS n.k.) na bei ya usafirishaji inategemea uzito au volume (whichever is bigger) ni kama wewe ukisafirisha bahasha kwenye basi ni tofauti na anayesafirisha gunia....
Kinachofanyika mzigo ukiwa mkubwa sana unatumia Air Courier na kama ni mkubwa zaidi unatumia Sea Shipment (this is the cheapest)
Ila hizi electronics
Naam Uzito au Ukubwa chochote ambacho ni kikubwa..., ukisafirisha gunia la manyonya ambalo sio zito ila ni kubwa watachukua volume.., ila ukisafirisha vyuma ambavyo ujazo ni mdogo ila uzito mkubwa watachukua uzitoAsnte kwa ufafanuzi, Nmekuelewa mkuu, so wao wasafirishaji wanacharge kutokana na uzito wa mzigo,
Asnte Mkuu kwa ufafanuzi nazidi kujua mambo kuhusu hizi ishuNaam Uzito au Ukubwa chochote ambacho ni kikubwa..., ukisafirisha gunia la manyonya ambalo sio zito ila ni kubwa watachukua volume.., ila ukisafirisha vyuma ambavyo ujazo ni mdogo ila uzito mkubwa watachukua uzito
Hii kitu kinaitwa Volumetric Weight
What is Volumetric Weight? | ParcelBroker
Volumetric weight refers to the overall size of a parcel and is measured in volumetric kilograms. Our pricing is calculated based on whichever is the greater out of the volumetric weight and the physical weight.parcelbroker.co.uk
Hongera,hata mimi nimewahi kuagiza mzigo mara moja kupitia Aliexpress,sikupata usumbufu wowote na ulikuja mpaka posta wakanipigia simu nikaupata ukiwa kamili,ilikuwa ni bluetooth speaker...Habari wana Jamvi, nilikua nina mashaka sana na kuagiza mizigo Ali Express kwamba ntapokeaje mzigo wangu.
Nikafanya majaribio nilinunua bidhaa mbili Moja ni flash ambayo ipo kama kadi ya master card (GB16) na nyingine ni Case ya external hard disk.
Niliingia kwenye aliexpress nikatengeneza profile yangu na kwenye adress niliweka morogoro na nkaweka postal code ya morogoro ambyo ni 67000. Basi nkaenda kwenye kulipia bidhaa.
Malipo niliyafanya kwa kuingiza namba za Visa Card yangu ya CRDB then nkaweka security code (namba 3, zilizopo nyuma ya kadi yako) nilipomaliza basi wao wakakata kiasi cha pesa kinachohitajika moja kwa moja kutoka CRDB.
Bidhaa zangu zote nilizonunua zilikua hazizid elf 10 bei yake kwa pesa ya kitanzania na zote nilichagua za free shipping. Baada ya kuweka order ilikua mwez wa 12 mwishon nkatulia kusubiri na kila siku nlikua naingia kwenye shipped items naona progress mzigo umefika wapi.
Nmesubiria sana mpaka mwez wa kwanza ukaisha kwenye track ya mzigo wangu naona zmeshafika destination country, nikawa nasubiria.
Mpaka mwanzon mwa mwezi wa 2 kama tar 4 ivi nkapigiwa simu na Posta Mkoa Morogoro naambiwa kuna package zako 2 hapa, nkaenda pale nkapewa control number. Kila mzigo pale posta nmelipia 2350. Jumla nkalipa 4700. Nkapewa package zangu.
Bidhaa ni nzuri na hazina shida yoyote nmekua confident kuagiza mizigo kwa hawa jamaa.View attachment 2116927
Mrejesho mzuriHabari wana Jamvi, nilikua nina mashaka sana na kuagiza mizigo Ali Express kwamba ntapokeaje mzigo wangu.
Nikafanya majaribio nilinunua bidhaa mbili Moja ni flash ambayo ipo kama kadi ya master card (GB16) na nyingine ni Case ya external hard disk.
Niliingia kwenye aliexpress nikatengeneza profile yangu na kwenye adress niliweka morogoro na nkaweka postal code ya morogoro ambyo ni 67000. Basi nkaenda kwenye kulipia bidhaa.
Malipo niliyafanya kwa kuingiza namba za Visa Card yangu ya CRDB then nkaweka security code (namba 3, zilizopo nyuma ya kadi yako) nilipomaliza basi wao wakakata kiasi cha pesa kinachohitajika moja kwa moja kutoka CRDB.
Bidhaa zangu zote nilizonunua zilikua hazizid elf 10 bei yake kwa pesa ya kitanzania na zote nilichagua za free shipping. Baada ya kuweka order ilikua mwez wa 12 mwishon nkatulia kusubiri na kila siku nlikua naingia kwenye shipped items naona progress mzigo umefika wapi.
Nmesubiria sana mpaka mwez wa kwanza ukaisha kwenye track ya mzigo wangu naona zmeshafika destination country, nikawa nasubiria.
Mpaka mwanzon mwa mwezi wa 2 kama tar 4 ivi nkapigiwa simu na Posta Mkoa Morogoro naambiwa kuna package zako 2 hapa, nkaenda pale nkapewa control number. Kila mzigo pale posta nmelipia 2350. Jumla nkalipa 4700. Nkapewa package zangu.
Bidhaa ni nzuri na hazina shida yoyote nmekua confident kuagiza mizigo kwa hawa jamaa.View attachment 2116927
Unaweza tumia sanduku LA posts LA mtu mzigo ukifika wanapiga namba zilizo juu ya parcel?Habari wana Jamvi, nilikua nina mashaka sana na kuagiza mizigo Ali Express kwamba ntapokeaje mzigo wangu.
Nikafanya majaribio nilinunua bidhaa mbili Moja ni flash ambayo ipo kama kadi ya master card (GB16) na nyingine ni Case ya external hard disk.
Niliingia kwenye aliexpress nikatengeneza profile yangu na kwenye adress niliweka morogoro na nkaweka postal code ya morogoro ambyo ni 67000. Basi nkaenda kwenye kulipia bidhaa.
Malipo niliyafanya kwa kuingiza namba za Visa Card yangu ya CRDB then nkaweka security code (namba 3, zilizopo nyuma ya kadi yako) nilipomaliza basi wao wakakata kiasi cha pesa kinachohitajika moja kwa moja kutoka CRDB.
Bidhaa zangu zote nilizonunua zilikua hazizid elf 10 bei yake kwa pesa ya kitanzania na zote nilichagua za free shipping. Baada ya kuweka order ilikua mwez wa 12 mwishon nkatulia kusubiri na kila siku nlikua naingia kwenye shipped items naona progress mzigo umefika wapi.
Nmesubiria sana mpaka mwez wa kwanza ukaisha kwenye track ya mzigo wangu naona zmeshafika destination country, nikawa nasubiria.
Mpaka mwanzon mwa mwezi wa 2 kama tar 4 ivi nkapigiwa simu na Posta Mkoa Morogoro naambiwa kuna package zako 2 hapa, nkaenda pale nkapewa control number. Kila mzigo pale posta nmelipia 2350. Jumla nkalipa 4700. Nkapewa package zangu.
Bidhaa ni nzuri na hazina shida yoyote nmekua confident kuagiza mizigo kwa hawa jamaa.View attachment 2116927
Kwahiyo ilipotea? Na hujapata paka leo?Usije kujaribu kulipia maana mara nyingi huko Ali au ebay au popote watakutumia mzigo wako kweli tatizo ukishaingizwa bongo wanaopokea ili kukufikishia (posta, dhl n.k) wao wakishajua ni mzigo wa thamani lazima waupige maana wanajua kabisa hauna namna ya kuwajua au ukifuatilia utachoka tu mwenyewe na kuachana nao.
Mimi nina experience na eBay. Nilikuwa naagiza vitu vya hovyo hovyo napata siku nilikuja jichanganya nikaagiza power tool set. Hapo ndio nikaja kujua kuwa sijui.
Ndio jibu hilo