NYOTIENO JARIEKO
Senior Member
- Apr 29, 2017
- 196
- 325
- Thread starter
-
- #41
kweli mkuu, nenda ujapime ukapate chanjo,unaweza kutumia njia zote,kuzuia HIV ukapata HBV ,cha kushangaza Watanzania wengi hatuna.elimj kuhusu huu ugonjwa..nimewaza sana ndungu zangu waliopo kijijini.,wanaofanya kazi ngumu kma kuchanganya zege, mbanano kwenye mwendokasi na daladala mwisho wa siku ni kumwachie Mungu tu .Woga umeshanishika tayari sikukuu ziishe niende kupima na kupata chanjo ya hepatis b
Kuhusu kulinda ini kunafanyikaje! Unazingatia vitu gani?
We jamaa upo sawa kweli?Hapa kweli nachanganyikiwa nifuate ipi...yani maisha yamekuwa mafupi sana ,unajinkinga na hili, nyingine linatokea ..ningepata aliyewahi kutumia haya madawa ,akapona ningepata mwanaga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupima 15000 rapid testWoga umeshanishika tayari sikukuu ziishe niende kupima na kupata chanjo ya hepatis b
Kuhusu kulinda ini kunafanyikaje! Unazingatia vitu gani?
Kuna vipimo vyake HBeAg, HBcAgLkn umejuaje kama ni acute au chronic? Kwa kawaida ni Daktari tu ndo anaweza kusema baada ya vipimo vya maabara.
kweli mkuu, nenda ujapime ukapate chanjo,unaweza kutumia njia zote,kuzuia HIV ukapata HBV ,cha kushangaza Watanzania wengi hatuna.elimj kuhusu huu ugonjwa..nimewaza sana ndungu zangu waliopo kijijini.,wanaofanya kazi ngumu kma kuchanganya zege, mbanano kwenye mwendokasi na daladala mwisho wa siku ni kumwachie Mungu tu .
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nimecheka kwa sauti eti vitini vya Nyambari Nyangwine.Huna unalojua wewe , issue ndogo ya Hepatitis B inakutoa Jasho na ukute ni mtu kasomeshwa kwa Kodi zetu wananchi..
Unashindwa ku-argue kwa hoja unakimbilia eti "Mimi navifanyia kazi daily"
Kuna mzungu mmoja ni daktari ambae najua wewe mpaka kifo chako huwezi fikia status yake kwenye masuala ya afya alinipa hizo hints na ni kweli Zina logic na kumake sense...
Sasa wewe daktari wa vitini na notes za nyambali nyangwine ukute chuo umesomea hapo St Joseph unajiona unajua kila kitu kumbe mweupe Kama unga kichwani ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo kinga akishafanyiwa mtu inakaa kwa muda gani?Kupima 15000 rapid test
35000 kwa machine
Kinga 30000 kwa machine krb
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha yako yote
Mimi siyo Virologist lkn nafikiri kuna utata, kwani cha muhimu ni viral load au kiasi cha viruses ulichonacho hilo ndiyo muhimu, na pia hepatetis B kuna chronic na acute, watu wengi walio na hepatetis B Tanzania walipata kutoka kwa mama zao wakati wanazaliwa kwa kuwa Tanzania hakuna chanjo ili kuzuia maambukizi ya virus ktk kwa mama kwenda kwa mtoto, hivyo bado Watanzania wengi bila ya kujua wanaishi na virus vya hepatetis B.
Kinachoamua kama uanze kutumia dawa au la ni kiasi cha virus au viral load, na hilo Daktari virologist lazima ajue.
Hepatetis B haina dawa, maana yake ni kwamba utaishi na virus mpaka mwisho wa maisha yako ila cha muhimu kuliko vyote ni afya ya ini, kwani hawa virus wa hep B husababisha saratani ya ini ambayo haina kinga, hivyo ni lazima kufanya vipimo vya ini, ...
Vipi mkuu ,Kuna dawa za kiarabu Kama utahitaji kuzitumia zipo zimewasaidia wengi na hazina gharama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu. Mm nnaishi na huo ugonjwa kwa mwaka wa 5 sasa, madakatar weng Tz hawajaufaham vizur na utafiti bado unaendelea ndo maaana hakuna mwenye jibu la moja kwa moja kuwa nn chanzo cha homa ya ini, nakushauri mm achana na hizo ARV ishi kwa kulilinda Inni lako basi utatoboa kulko hataa wasiokuwa na hivi virusi.
Sent using Jamii Forums mobile app