Nimepigwa na kitu kizito

Nimepigwa na kitu kizito

Mlivokuwa mnatutambia sasa....kuna yule karani aliyedai atamjengea babake nyumba....kwa vilio hivi labda amjengee nyumba ya milele.
Ila nyongeza imepambwa hii, Bora ingekuwa kimya kimya
 
Afadhali angewambia watumishi wa umma wasubiri kwanza mpaka miradi yote mikubwa ikamilike wangemuelewa kuliko hiyo nyongeza utopolo.
 
" Magufuli amekaa miaka 6 bila kuongeza mishahara "

Alisikika mlevi akisema kwa nguvu
 
Afadhali angewambia watumishi wa umma wasubiri kwanza mpaka miradi yote mikubwa ikamilike wangemuelewa kuliko hiyo nyongeza utopolo.
Hasa hili la kuwang'oa wamasai ngorongoro litakalogharimu billion 700/-,ambalo ndio priority kwa Sasa !!
 
Back
Top Bottom