ni wapi huko....?
Dom 84 club au uko pale club mpya karibu na stand ya hood? nataka kukutoa udoroDom hapa, dah yaan ndo imeingia mi mama mi2 aged 43+ sijui ni mibaunsa ya humu!! I'm bored to the maximum.
Teh kwa hapo umewahi sana mkuu ila pametulia sana km vp panda chako ni chako kagonge kuku kidogo the utawakuta wamejazana hadi nje.nimetembelea hapa dom. Wenyej wamenijulisha kuwa inaitwa maisha club. Wanasema et mda wa totoz bado, mi nimewahi sana, sijui ni kweli!!
Dah nimecheck na bibie ila bado hawajaanza kuja hadi badae km wakiibuka nitaku-PM usijali mkuu ingawa najua kwa hapo utabaki kuchanganyikiwa, TAKE CARE kaka.Maisha Club, hebu nichangamshe mkuu.